Nataka nimpige marufuku asirudi tena

Nataka nimpige marufuku asirudi tena

Kwa kifupi unataka ujue atatoa ama hatoi. 🤣🤣🤣🤣

Wivu mbaya sana
 
Inawezekana sio wivu ni kibamia
hauna lolote
Kwanza wewe utakuwa ni domo zege
Kimsingi, hapo kinacho kudrive ni wivu tu
Narudia tena NI WIVU TUUUUU
Kama ulikuwa na nia ya kumuondoa sawa. lakini kwasababu hii unayoleta hapa, nakuhakikishia, sikiliza moyo wako, ni wivu tuu
 
Wazaz wetu hawapo kwa sasa
Mama alifariki baba anakaa nairobi

Hapa tupo mie na bro na family yake kwo anakaa na kina bro hapo mie niko nyuma kidogo ila ni hom tu
basi inaonekana hukumtreat kama mdogo wako tangu akiwa mdogo anakua ndio maana kajikuta anakitamani umtom.be!
otherwise wewe ndio uliaanza kumtamani ila ulikuwa unafeel guilty kumla!

halaf mpka kanafikia kuleta wanaume chumbani nyumban itakuwa kanawadharau na kuwachukulia poa sana kama washkaji tu na sio kaka zake, so hamuwezi kukahandle sasahivi

So endelea kuwa mpenzi mtazamaji tu
 
basi inaonekana hukumtreat kama mdogo wako tangu akiwa mdogo anakua ndio maana kajikuta anakitamani umtom.be!
otherwise wewe ndio uliaanza kumtamani ila ulikuwa unafeel guilty kumla!

halaf mpka kanafikia kuleta wanaume chumbani nyumban itakuwa kanawadharau na kuwachukulia poa sana kama washkaji tu na sio kaka zake, so hamuwezi kukahandle sasahivi

So endelea kuwa mpenzi mtazamaji tu
Kwa hiyo nisimwmbie mtu wala nisikapige beat kwamba kasirudi tena kakisepa?
 


😂😂😂😂😂..nakwede nakugawaa...hahahhahahahahahah
20190710_121318.png
 
Sio hatuna sauti,yye alifanya kwa kua alihic hakuna ataejua maana chumba chake kiko nje kidogo

Ndo maana nataka nilianzishe nimwambie asikanyage tena hapa la sivyo atayaibua mengine
Hpo ndo tatizo lilipo... Unamfeel lkn unaogopa msala.. Lkn MTOTO wa like kuleta dume nyumbni ninyi wenye NYUMBA Hamna sauti kwake hta nukta.
 
Wewe kaka usiwasikilize hawa...msichana ndo kwanza unaenda A level.unaanza ingiza wanaume tena ugenini hii sio dalili njema kbs..kwanza kitafeli shule labda kiwe na akili za ziada...katakuletea magonjwa bure..katumie msg kaambie kaka amejua ameksairika sana...kaambie kakifunga shule kasije hapo..ww unashindwaje kumpa mtu biti na ni kwenu??shauri zako..utakuja nikimbuka..hv amekuanza wa atahamia kwa kaka yako😏😏😏
 
Back
Top Bottom