Nataka nilikatie hati miliki neno 'BEBERU'

Nataka nilikatie hati miliki neno 'BEBERU'

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,525
Reaction score
46,612
Kama walivyofanya walt disney kwa kulikatia hati miliki neno 'Hakuna matata' nami nataka nifanye hivyo kwa neno 'Beberu'. Nimeanza kuona linatumika kila mahali mara kwa mara.

Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni - JamiiForums

==================================
Update: 19/09/2020
DFE26A56-84F2-4937-9A69-44A2C622E765.jpeg
 
MUONGO HUYO,NINA USHAHIDI WOTE WAMELIPWA HATA WANOSEMA KIKOKOTEO CHA NSSF NI WAONGO,WAMETUMWA NA MABEBERU USIWAAMINI KADA MWENZANGU..MAGUFULI OYEEEE,MAKONDA,JOKATE OYEE,ALLY HAPI OYEE OYEEEE,,JESTINA MHAGAMA JUUUUUU HUU HUU ZAIDI
 
Back
Top Bottom