Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 3,950
- 5,692
Huku wapo mawakala wazuri tuuuu.
Kuna mkenya mmoja akiitwa ABOUD ROGO akiwahimiza watu wazi wazi waende somalia kupigana jihadi,wakajiripuee n.k(huyu amekufa miaka ya 2013 aliuliwa na watu wasiojulikana)
Hapa tanzania kuna kijana mmoja wa mwanza alisoma pemba kwa maalim hamza (jina nalihifadhi)huyo kijana alikuwa ana wahimiza waislamau waende somalia wakapigane na kujiripua hapa tanzania ukafiri mtupu.
Na wako weeeengi tanzania ambao wana fikra hizo za kujiripua ndyo maana nakuambia hivyoo mkuu.
Ila wapo watu ambao hawafundishi fujo,hawafundishi jazba japo kuwa ukiwaona utawaona wana ndevuu nyiiingii unaweza sema ni kama kina osama ila ni watu wazurii hawana fikra mbaya za kujiripua ripua.
Khawaarij hawa, kuanzia baba yao usama bin laden na watoto wake ndio hao akina rogo