Mm nimeona TBC1 tu na TVEYaan channel za ndani zipo dstv?
Mm nimeona TBC1 tu na TVEYaan channel za ndani zipo dstv?
Chanel za ndani zipo kwenye dstv?
Daah! Kwa wale mnaotumia dstv kifurushi cha 19000 ligi ya EPL wanaonesha?Zipo ila sio zote,kuna tbc,tve,clouds plus,wasafi,zbc
Zamani hadi itv ilikuwepo lakini tcra wakaitoa
Daah! Kwa wale mnaotumia dstv kifurushi cha 19000 ligi ya EPL wanaonesha?
Yaan kila weekend au wanaonesha zote auBaadhi ya mechi unaziona ile zile hot ni kwenye package za juu
Yaan kila weekend au wanaonesha zote au
Na hata kama zitachezwa katikati ya wiki huwa wanaonesha? Na za FA wanaonesha?Kila weekend zinaonyeshwa ila wanachagua baadhi ya mechi,na mara nyingi mechi kali hazionyeshwi kwenye package hii
Kumbe hii package sio nzuri sanaNa hata kama zitachezwa katikati ya wiki huwa wanaonesha? Na za FA wanaonesha?
Umetubuluza jombaa.hiyo Chanel ten ni namba ngapi?maana kifurushi kikikata huwa wanaacha tbc1,Dstv 100,409,447,448,449 pekee.Kifundushi cha 19500 channel zilizo active ni 75+ na kifurushi kikiisha huwa wanabakisha Channel local 2_za Tbc na Channel Ten.In short Dstv wapo okay .
Hata isipokata kwani ten huwa ipo?Umetubuluza jombaa.hiyo Chanel ten ni namba ngapi?maana kifurushi kikikata huwa wanaacha tbc1,Dstv 100,409,447,448,449 pekee.
Na hata kama zitachezwa katikati ya wiki huwa wanaonesha? Na za FA wanaonesha?
HAIPOHata isipokata kwani ten huwa ipo?
Sijakuelewa hebi fafanua mkuuAnaetaka access ya DStv Now aje kifurushi ni compact utaona Premier League live !
Utanipoza hata hela ya bia mbili tu
DStv Now ni app unatumia kuangalia channel za dstv kwahiyo mie nakupa email na password yangu we unaangalia kutumia account yanguSijakuelewa hebi fafanua mkuu
Hapo nimekupata sasa mkuuDStv Now ni app unatumia kuangalia channel za dstv kwahiyo mie nakupa email na password yangu we unaangalia kutumia account yangu
Alie na 50 fasta aje akichukueHatimaye nimefanikiwa kuchukua sema fundi kazingua kanambia hadi kesho kukifunga