Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
Nataka nihame star times, ila sasa changamoto ni kuwa niende Dstv au Azam Tv, ila hawa Azam tv naona wengi wakilalamika kuhusu kujaa kwa chaneli za kihindi ambazo hazina mvuto.
Nikaafiki nitafute Dstv ila uwezo wangu ni kifurushi cha bei ya chini cha BOMBA, vipi chaneli zilizopo kwenye hiko kifurushi zina mvuto? au ndio mpaka vile vya bei kubwa wakuu?
Naombeni majibu wakuu!
Nikaafiki nitafute Dstv ila uwezo wangu ni kifurushi cha bei ya chini cha BOMBA, vipi chaneli zilizopo kwenye hiko kifurushi zina mvuto? au ndio mpaka vile vya bei kubwa wakuu?
Naombeni majibu wakuu!