Nataka nifungue blog ya confession (kutubu)

Nataka nifungue blog ya confession (kutubu)

Planet Data bundles

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,403
Reaction score
4,361
Nataka nifungue blog ya confession ( kutubu)
Watu wawe wanasign annonimous kwa ajili ya kutubutu au kukiri jambo fulani ambalo alifanya siri!!…

Watu wengi miaka ya leo wanaugua pressure na magonjwa ya moyo kisa wamejaza siri nyingi sana .Hii itasaidia kwa wale ambao wanakaa na siri za muda mrefu kupumua… na kuponya nafsi

Hii idea niliiona [emoji1139] hapo!! Ila msiniiibie hili wazo!

Toa maoni tafadhari
 
Nataka nifungue blog ya confession ( kutubu)
Watu wawe wanasign annonimous kwa ajili ya kutubutu au kukiri jambo fulani ambalo alifanya siri!!…

Watu wengi miaka ya leo wanaugua pressure na magonjwa ya moyo kisa wamejaza siri nyingi sana .Hii itasaidia kwa wale ambao wanakaa na siri za muda mrefu kupumua… na kuponya nafsi

Hii idea niliiona [emoji1139] hapo!! Ila msiniiibie hili wazo!

Toa maoni tafadhari
Wazo zuri ila confession ya annonimous mh... Atapumua kidogo ila sio dawa ya yote, confession huwa na nguvu ukireveal identity,.. Hapo ndio watu walioumizwa na matendo yako wataelewa na kukusamehe... Ila kujua ficha bado sio dawa Sana... Ni Sawa na wale wanao confess humu jukwaani tu
 
Wazo zuri ila confession ya annonimous mh... Atapumua kidogo ila sio dawa ya yote, confession huwa na nguvu ukireveal identity,.. Hapo ndio watu walioumizwa na matendo yako wataelewa na kukusamehe... Ila kujua ficha bado sio dawa Sana... Ni Sawa na wale wanao confess humu jukwaani tu

mkuu hiyo itakua ni hatari,,, ssna!… nataka kitu kitachompa mtu uhuru wa kupumua nafsi kwamba amesema lakini kitachomfanya awe salama
 
Nataka nifungue blog ya confession ( kutubu)
Watu wawe wanasign annonimous kwa ajili ya kutubutu au kukiri jambo fulani ambalo alifanya siri!!…

Watu wengi miaka ya leo wanaugua pressure na magonjwa ya moyo kisa wamejaza siri nyingi sana .Hii itasaidia kwa wale ambao wanakaa na siri za muda mrefu kupumua… na kuponya nafsi

Hii idea niliiona [emoji1139] hapo!! Ila msiniiibie hili wazo!

Toa maoni tafadhari
Wewe ni nani?
 
Nataka nifungue blog ya confession ( kutubu)
Watu wawe wanasign annonimous kwa ajili ya kutubutu au kukiri jambo fulani ambalo alifanya siri!!…

Watu wengi miaka ya leo wanaugua pressure na magonjwa ya moyo kisa wamejaza siri nyingi sana .Hii itasaidia kwa wale ambao wanakaa na siri za muda mrefu kupumua… na kuponya nafsi

Hii idea niliiona [emoji1139] hapo!! Ila msiniiibie hili wazo!

Toa maoni tafadhari
Kwaiyo waliozaa na ndugu zao wadam waje [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Ni wazo zuri ikiwa kutakua na privacy policies nzuri
Don't ever do that.
Hakuna privacy yeyote mtandaoni.
Hata Whatsapp yenyewe wana siri zako zote sema zile servers huwa zinadumu muda fulani mpaka mwenye server atakapotaka kufuta ikiwa itajaa. Privacy yako inaweza ikatumika kinyume chako.

Unahitaji kutubu only to God alone. God is the only source of peace of mind.
 
Nataka nifungue blog ya confession ( kutubu)
Watu wawe wanasign annonimous kwa ajili ya kutubutu au kukiri jambo fulani ambalo alifanya siri!!…

Watu wengi miaka ya leo wanaugua pressure na magonjwa ya moyo kisa wamejaza siri nyingi sana .Hii itasaidia kwa wale ambao wanakaa na siri za muda mrefu kupumua… na kuponya nafsi

Hii idea niliiona [emoji1139] hapo!! Ila msiniiibie hili wazo!

Toa maoni tafadhari
Nakushauri uingie YouTube uone watu wanavyotubu mambo ya kutisha waliyofanya kupitia Davista Mata na Promover Tv, utashangaa na kufunguliwa sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom