KingPower
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 1,146
- 1,892
Habari wakuu poleni na majukumu
Nina wazo la kufungua Biashara ya vinywaji baridi Kwa bei ya Jumla Kwa maeneo ya Tanga.
Nilikua naomba kujua je mtaji wa kiasi gani naweza kuanza nao? (Kima cha chini)
Na Je iliuanze biashara ya Jumla unahitaji kununua kuanzia katoni ngapi Kweny Deposit?
Pia Kwa anayeyajua machimbo au Deposit ambapo unaweza kwenda kuchukua mzigo naomba anielekeze
Naomba kuwasilisha .
Nina wazo la kufungua Biashara ya vinywaji baridi Kwa bei ya Jumla Kwa maeneo ya Tanga.
Nilikua naomba kujua je mtaji wa kiasi gani naweza kuanza nao? (Kima cha chini)
Na Je iliuanze biashara ya Jumla unahitaji kununua kuanzia katoni ngapi Kweny Deposit?
Pia Kwa anayeyajua machimbo au Deposit ambapo unaweza kwenda kuchukua mzigo naomba anielekeze
Naomba kuwasilisha .