Odds 3 ni ngumu kutoa hasa daily, na mtaji hautoshi kwa sasa nikushauri upambane upate hata kazi kwanza, kama wewe mwanaume amka, hearing loss si kigezo cha kukata tam
kaka unadhani sipambani !? Brother huwezi Amin Nilipata kazi Bandarini Zanzibar Nilipokwenda Walipojua tuu Sisikii Vzuri Basi kazi wakaninyima, ikabidi nirudi Dar tuu. ila kama una Mchongo Usisite kunipa Nitashukuru Sana.Odds 3 ni ngumu kutoa hasa daily, na mtaji hautoshi kwa sasa nikushauri upambane upate hata kazi kwanza, kama wewe mwanaume amka, hearing loss si kigezo cha kukata tamaa
Nimetoa ushauri tukaka Unadh
kaka unadhani sipambani !? Brother huwezi Amin Nilipata kazi Bandarini Zanzibar Nilipokwenda Walipojua tuu Sisikii Vzuri Basi kazi wakaninyima, ikabidi nirudi Dar tuu. ila kama una Mchongo Usisite kunipa Nitashukuru Sana.
Nipe Deal Ndugu Yangu,Tafuta kazi ya kufanya. Betting haiwezi kuwa kazi ya kukupatia kipato cha uhakika. Una taarifa AS FAR RABAT leo amepigwa?
Sasaa Nifanyaje Ndugu, !?Sikushauri kabisa kuingia huko hasa kwa kipindi hiki ambacho hauna permanent job, utaishia kuwa desperate tu.