Nataka mkopo wa 6milioni, dhamana nyumba ya vyumba vitatu, sina hati

Rutunga M

JF-Expert Member
Mar 16, 2009
1,769
1,382
Wakubwa nimejenga nyumba ya vyumba 3 tu,choo,bafu(tayari na umeme na inaendelezwa upande wa pili kwa kwa vyumba vingine 3 ,vimefika kwenye kuezekwa na ni kwenye viwanja hivi vya kuuziana,(kwamba viwanja havijapimwa na sina hati ya nyumba).Lakini nataka kukopa tsh milini ksti ya 5 na 6,hvi niende benki ipi? mimi nina account NMB na CRDB na nyumba yangu iko nje ya Dar(mikoani lakini mjini).

Nisaidie niendleze ka-project kangu
 
mkuu ... natumaini unataka kuchukua mkopo kwa ajili ya kuendeleza au kumalizia ujenzi wako ..... mikopo ambayo ni unsecured kama hiyo inatolewa pale unapokuwa unayo biashara na hiyo biashara ndiyo inakuwa security .... sasa kama unajenga hiyo nyumba ... je itaingizaje pesa za kulipia rejesho (repayment) pamoja na riba...? Akiba Commercial Bank wanaweza kukupa kwa kutumia guarantee ya serikali za mitaa na mahakama lakini lazima uwe na biashara yeyote inayoonyesha ndiyo italipa mkopo ....
 
Heshima kwako Rutunga.

Mkuu unaweza kuwatumia maafisa ardhi katika halmashauri unayoishi wakakupimia [wakaweka becons] na kukutengenezea hati amabayo itakubalika bank yoyote.
 
mkuu ... natumaini unataka kuchukua mkopo kwa ajili ya kuendeleza au kumalizia ujenzi wako ..... mikopo ambayo ni unsecured kama hiyo inatolewa pale unapokuwa unayo biashara na hiyo biashara ndiyo inakuwa security .... sasa kama unajenga hiyo nyumba ... je itaingizaje pesa za kulipia rejesho (repayment) pamoja na riba...? Akiba Commercial Bank wanaweza kukupa kwa kutumia guarantee ya serikali za mitaa na mahakama lakini lazima uwe na biashara yeyote inayoonyesha ndiyo italipa mkopo ....

Mkubwa Hukunielewa !,mimi siyo mjinga kiasi hicho wa kutaka kukopa kwa ajili ya kumalizia nyumba,nimesema nina project Fulani inayoendelea ambayo nataka kuongezea mtaji.Jenga utaratibu wa kuelewa thread za watu kabla ya kutoa judgment zisizo na tija,hata hivyo naheshimu mchango wako.
 
Wakopeshaji watatengenezaje mortgage deed (Legal Mortgage) kama nyumba haina hati wala leseni ya maklazi?
 
Mkubwa Hukunielewa !,mimi siyo mjinga kiasi hicho wa kutaka kukopa kwa ajili ya kumalizia nyumba,nimesema nina project Fulani inayoendelea ambayo nataka kuongezea mtaji.Jenga utaratibu wa kuelewa thread za watu kabla ya kutoa judgment zisizo na tija,hata hivyo naheshimu mchango wako.


I term that as narrow minded. sorry
 
Mkubwa Hukunielewa !,mimi siyo mjinga kiasi hicho wa kutaka kukopa kwa ajili ya kumalizia nyumba,nimesema nina project Fulani inayoendelea ambayo nataka kuongezea mtaji.Jenga utaratibu wa kuelewa thread za watu kabla ya kutoa judgment zisizo na tija,.

mkuu mbona mkali hivyo. Kwani LAT amekujibu vibaya?
Hata hivyo wewe sio mjinga kiasi cha kushindwa kujua bank gani ukakope. Sawa eeh!
 
kweli kabisa. Ukiwa una shida halafu unatoa dharau hata kama mtu anataka kusolve shida yako ana hairisha.

Mtu kama huyo ni kumwacha akakope wamfilisi. Hao ndio wanaokopa bila kuelewa mikataba ya benki kuhusu mikopo. wanajikuta wanalipa more than what they had planned.
Kuna jamaa wa humu JF alianzisha thread inayosema "The trouble with this world is that the stupid are confident and the intelligent are full of doubt"
 
Mkubwa Hukunielewa !,mimi siyo mjinga kiasi hicho wa kutaka kukopa kwa ajili ya kumalizia nyumba,nimesema nina project Fulani inayoendelea ambayo nataka kuongezea mtaji.Jenga utaratibu wa kuelewa thread za watu kabla ya kutoa judgment zisizo na tija,hata hivyo naheshimu mchango wako.

mkuu..... nimetoa ushauri kutokana na details za thread yako ... mkuu ungeweza kupata ushauri mzuri kama thread yako ingekuwa transparent and detailed ili ueleweke ...... unless otherwise i withdraw my post and all the best ....
 
mkuu..... nimetoa ushauri kutokana na details za thread yako ... mkuu ungeweza kupata ushauri mzuri kama thread yako ingekuwa transparent and detailed ili ueleweke ...... unless otherwise i withdraw my post and all the best ....

This is gentlemanship!...... seconded!
 
Mtu kama huyo ni kumwacha akakope wamfilisi. Hao ndio wanaokopa bila kuelewa mikataba ya benki kuhusu mikopo. wanajikuta wanalipa more than what they had planned.
Kuna jamaa wa humu JF alianzisha thread inayosema "The trouble with this world is that the stupid are confident and the intelligent are full of doubt"[/QUOTE]


‘But Not all Stupid people are confident and not All intelligent people are full of doubt’


Mkubwa,Kama hutaki kukosolewa na wewe husikosoe.Kama umekosoa mtu ,kuwa tayari kukosolewa ama nay eye au na watu wengine na kwa vyovyote,si kwamba upuuzi wa mtu unaweza kuwa tija kwa mwingine hata kama aliyeutoa na wenzake wanauamini kwa 100%.(Tumia falsafa hii kuendesha maisha yako.


Ninakubalina na maoni yenu,hasa wale ambao wanadhani wakitumia kimombo wanaelewaka zaidi na pointi zao ni za maana sana.Lakini ndivyo tulivyo.TUENDELEE.........
 
Wakubwa nimejenga nyumba ya vyumba 3 tu,choo,bafu(tayari na umeme na inaendelezwa upande wa pili kwa kwa vyumba vingine 3 ,vimefika kwenye kuezekwa na ni kwenye viwanja hivi vya kuuziana,(kwamba viwanja havijapimwa na sina hati ya nyumba).Lakini nataka kukopa tsh milini ksti ya 5 na 6,hvi niende benki ipi? mimi nina account NMB na CRDB na nyumba yangu iko nje ya Dar(mikoani lakini mjini).&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Nisaidie niendleze ka-project kangu

Rutunga tueleze hako ka-project ni kaproject gani tukichakachue hapahapa kama kina lipa kwa kiasi gani manake hata benk watahitaji kujua,si unajua tena waswahili wanasema mficha uchi hazai.
 
Mkuu, punguza hasira jamaa wanakueleza jinsi ya kufanya mambo kwa faida yako naona unakuwa mkali!
umeweka pandiko lako jamvini pokea maoni kutoka kwa wachangiaji mbalimbali then chukuwa yale yatakayokufaa yafanyie kazi
 
mkubwa hukunielewa !,mimi siyo mjinga kiasi hicho wa kutaka kukopa kwa ajili ya kumalizia nyumba,nimesema nina project fulani inayoendelea ambayo nataka kuongezea mtaji.jenga utaratibu wa kuelewa thread za watu kabla ya kutoa judgment zisizo na tija,hata hivyo naheshimu mchango wako.

kichaa aasemi kama anamatatizo ya hakili, na mjinga hajui kama yeye ndiyo.....
 
Mkuu chatudume,
Umesema kweli, jamaa anataka maoni ya wapi akakope but anajifanya mjuaji. Nimesoma bandiko lake kwa kurudia rudia lakini hata mimi sijaona sehemu inayoeleza project nyingine aliyonayo zaidi ya nyumba anazodai ziko kwenye finishing stage.
Ni rahisi sana mtu yeyote ku-spot kwamba project ya huyo jamaa ni umaliziaji wa nyumba zake.
Namshauri amuombe radhi ndg LAT ambaye mara zote amekuwa positive sana katika michango yake, na wengi tumefaidika nayo.
Mwisho kabisa, aombe mods wafute bandiko lake na aweke lingine ambalo atatoa maelezo ya kutosha kuepuka mikanganyiko.
Thanks
Mkuu, punguza hasira jamaa wanakueleza jinsi ya kufanya mambo kwa faida yako naona unakuwa mkali! <br />
umeweka pandiko lako jamvini pokea maoni kutoka kwa wachangiaji mbalimbali then chukuwa yale yatakayokufaa yafanyie kazi
<br />
<br />
 
Mkuu Rutunga M nimesoma kwa kina ushauri wa LAT sikuona sababu ya wewe kumjia juu hivyo maana ametumia lugha ya ushauri ambo si wewe tu utafaidika hata na wengine....sasa hasira za nini ama ulikua na lako jambo dhidi yake ukaona wakati mwafaka umefika wa kumshambulia. Ulichotakiwa kufafanua ni kusema wewe unabiashara ambayo itakuwa security ya mkopo huo na wala sio nyumba halafu ungelekezwa wapi pa kukopa....Ukijaaliwa uungwana unaweza ukam-PM kumuomba radhi.
 
Back
Top Bottom