Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Wakubwa nimejenga nyumba ya vyumba 3 tu,choo,bafu(tayari na umeme na inaendelezwa upande wa pili kwa kwa vyumba vingine 3 ,vimefika kwenye kuezekwa na ni kwenye viwanja hivi vya kuuziana,(kwamba viwanja havijapimwa na sina hati ya nyumba).Lakini nataka kukopa tsh milini ksti ya 5 na 6,hvi niende benki ipi? mimi nina account NMB na CRDB na nyumba yangu iko nje ya Dar(mikoani lakini mjini).
Nisaidie niendleze ka-project kangu
Nisaidie niendleze ka-project kangu