Nataka kwenda Gambosh

Nataka kwenda Gambosh

Gamboshi ni kijiji tu kama vilivyo vijiji vingine sema imani za kishirikina zimejaa huko ila mchana ni pa kawaida sana kama viji vingine.....ukifika bariadi panda gari za mwanza zinazopitia kasori shuka kijiji kinaitwa ngulyati then kuna pikipiki au baiskeli zitakupeleka hadi gamboshi mkuu
Mimi simaanishi Wilaya ya Bariadi..Nimesema nataka kwenda Gamboshi mji usioonekana kwa macho ya kawaida(mji wa wachawi)
 
Ajipange, safari ya gambosh ni sawa na safari ya kwenda kutalii mwezini
Kwani ukienda mwezini haurudi..
Na mambo ya kujipanga mimi niko tayari..na nilisema viapo vya kichawi niko tayari,kulazwa makaburini niko tayari,kuzikwa mzima mzima niko tayari chochote mimi niko tayari..Mimi nataka kwenda kutalii tu
 
Wakuu Habari Zenu
Nimesikia eti huko Gambosh kuna kila kitu kama hapa duniani.Mimi nataka kwenda mara moja tu kwenda kujionea kwa macho yangu na kurudi hapa duniani.

Kuna njia yoyote ya kwenda huko au ni mambo ya kukata tiketi kama za ndege...

NB:-
Ni Kisiwa cha wachawi na sio Gamboshi Wilaya ya Bariadi..

Asanteni..
Ukienda huko huruhusiwi kurudi wanakunywa damu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom