Na wewe.Hahahha sawa mkuu watakuja tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Basi mshauri jounah awe anaifanya kwa mstakabari wa ndoa yake baadaeAcha nasihara 2 only
Sent from my iPhone using JamiiForums






Hivi hapo kucheza na balls wanamaanisha ile mipira yangu ya basket?Hapo namba4 tu ndio inanihusu.
Be you.
Hata sijui!! Kwani una mipira wewe?Hivi hapo kucheza na balls wanamaanisha ile mipira yangu ya basket?



Ni kweli mkuu..wadada wanataka haki sawa na wanaume ..ndio maana single mothers limekua janga la taifaNdomana nkasema wanajikuta much know sanaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Njoo uniangalizie basi naona uvivu kuiangalia.Hata sijui!! Kwani una mipira wewe?
Be you.
Sasa ndoa yangu ipi ninayobariki? Maana ninazo4
Be you.
Mmh.
Nikuangalizie nini?Njoo uniangalizie basi naona uvivu kuiangalia.
Mmh.
Wewe najua umeelewa tu unataka nisielewe.
Kama unasoma ninachokuqoute.Nikuangalizie nini?
Be you.
Ni kweli hisia zako ni sahihi nilitaka nione utakavyozitamka balls kwa kiswahili..ila umekausha.Mbona nahisi kama wewe unajua vile
it is very important but not necessary
![]()
Hahaa, huu ushauri utamfaa nani ajitokeze auchukue aondoke nao moja kwa moja tusiuone tena??
Basi wadada wote watauchuna, jitokozeni jamani muuchukue muondoke nao en remember mkautumie
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA

