Nataka kuwa na roho ya ukatili

Nataka kuwa na roho ya ukatili

Tengeneza sera (Policy) halafu uishi kwa hizo.
mfano: n i marufuku kumpa mtu hela kwa kumwamini tu
sitasikiliza shida ya mtu kabka sijashughulikia za kwangu
sitatoa kuliko uwezo wangu
nitamsamehe mtu lakini sitamrudisha kwenye mpango uliokua unaendelea
sifanyi kitu chochote ambacho hakimo katika work plan na budget yangu.
nitatoa au kufanya kitu kile tu ambacho nimekiiingiza kwenye mpango kazi

sitatamani cha mtu wala sitataka kumtamanisha mtu au kumshawishi mtu ili kumvuta kwangu.
.......
 
Mkuu Anza kuuwa familia yako kwanza ukimaliza nifuate nikuandikie dozi
 
Nahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?
1.Jiunge na uislamu.
2.Jiunge na CHADEMA.
3.Oa mchaga.
 
nenda kwa mganga wa kienyeji atakupa dawa ya simba
 
Unataka kuwa mkatili? Unaweza kuwa mkatili. Soma hivi vitabu vinne,the four most evil books in the world. Grimorium Verum, True Black Magic,. The Grand Grimoire, The Grimoires of Honorius. Hivyo vitabu vinne. Ukisikia freemasons au illuminati are sworn to secrecy ni kwa ajili ya beliefs kama hizi. The rise and prominence of communism cannot be understood apart from these beliefs,kuamini kwamba maskini wawaangusha matajiri kwa kutumia ndumba. Kwa sababu. Mayer Rothschild ndiye aliyemtuma Marx kuandika Communist Manifesto.
 
Basi fanya haya....

Vua nguo zako...

Kisha nenda barabarani.
Ingia kijiwe kula bangi mbichi hafu masela wakubake lazma utajiwa na roho ya kikatili.
 
jiunge na jwtz ukitoka hapo acha kazi hiyo halafu uende ukatume maombi al shabab, halafu jitahidi uwe una chinja chinja mbwa, paka wanyama ambao hawaliwi,msaada zaidi nenda google na Youtube kuna ma instructor wazuri sana huko unaweza pata hata cheti cha u cruelity online!
 
kila siku asubuhi unapoamka kula maji choo kizima..ukitimiza vyoo mia mbili utakuwa na roho mbaya sana
 
Nahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?

Nisikilize kwa makini wachana na upuuzi uliongelewa hapa.

Huhitaji Roho Ya Ukatili kama mbadala wa Roho ya Huruma. Mbadala wa Roho ya huruma ni ROHO YA UJASIRI. Utagundua kuwa .. ni hali zinazofanana.

Kwa nini unajitaji ujasiri na na si ukatili. Dunia ilivoleo huruma inamfanya mtu aonewe akose haki na mambo mengine kinyume na haki za binadamu. Kwa hiyo muathirika anakata shauri kuwa ukatili ndio jibu. Si kweli. jibu ni ujasiri.

Ujasiri si kinyume na haki za binadamu bali ukatili.

Unahitaji kuwa imara jasiri na serous na maisha ili kupambana na kuwashinda wakatili .. waonevu .. na wote wenye roho mbaya.
 
Ingiza dole gumba machoni halafu usiugulie maumivu au nyoa nywele kwa kuzivuta kichwa kizima hapo utakuwa katili
 
Nahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?
Nenda vingunguti machinjooni kaijiunge na wale wanachinja wanyama uwe mchinjaji wa wanyama utakuwa una roho ya ukatili Mkuu Karakwende
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom