Nataka kuwa na roho ya ukatili

Nataka kuwa na roho ya ukatili

Karakwende

Member
Joined
Apr 14, 2015
Posts
26
Reaction score
5
Nahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?
 
Anza biashara ya kuuza sumu hakika utakua na roho mbaya sanaaa.
 
Nahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?
KWANZA;
ITABIDI WEWE
UFANYIWE UKATILI.
NJOO PM....
:embarrassed1::tape2::rip::A S cry:
 
Nahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?

Very interesting! Jana si uliwaona waliokamatwa msikitini au yule kijana wa Bihawana sec aliyekamatwa akiwa juu ya dari kule Garissa, Kenya? Jiunge nao utapata ujasiri wa ukatili unaoutaka.
 
Acha kutafuta roho mbaya kama unatatizo sasa litatue. Huenda kwa huruma yako umekopesha mtu anakuzungusha au unashindwa kumdai. Wa endelea kumdai tu.
 
Roho mbaya ni kama ipi Karakwende? Juzi umejiunga home to Great thinkers, jana umekuwa approved na leo unakuja na post hii?

Tutaona na kusikia mengi, wenzako huwa wanasalimia waliowakuta kwanza, kutokusalimia tayari ushaanza kuleta roho mbaya humu.

Inaonyesha una roho mbaya sana mpaka hapo.
 
Last edited by a moderator:
Acha kutafuta roho mbaya kama unatatizo sasa litatue. Huenda kwa huruma yako umekopesha mtu anakuzungusha au unashindwa kumdai. Wa endelea kumdai tu.

mkuu ni ndugu zangu wananiona ni mpole sana sasa wanatumia nafasi iyoo kupora nilichonacho
 
Roho mbaya ni kama ipi Karakwende? Juzi umejiunga home to Great thinkers, jana umekuwa approved na leo unakuja na post hii?

Tutaona na kusikia mengi, wenzako huwa wanasalimia waliowakuta kwanza, kutokusalimia tayari ushaanza kuleta roho mbaya humu.

Inaonyesha una roho mbaya sana mpaka hapo.

NI hasira tu mkuu nisameheni mkuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom