Habari wanajf ...natanguliza pole kwa kijana hapo kwa masahibu yanayomkuta mpaka anafikiria kuwa mwenye roho mbaya,napia nmeskitika kwakuwa kijana hajapewa ushaur badala yake ameanza kuonekana wakuja.katika jamii yetu saiv tumekuwa tunaendeshwa kwa hisia sana yaani wachache tu wakitoa mawazo hasi basi watu wengi wataunga mkono bila kuangalia upande wa pili.huju kijana aulizwe chanzo ninin mpaka afikirie hivyo ambapo sana sana atasema anatenda wema lakin anaumizwa had an watu ambao hategemei watamuumiza(he has put too much expectation in people)na ndokinachomuumiza ushauri wangu tenda wema uende zako.wakikuumiza jarib kuvaa viatu vyao .Mara nyingi muumba hukupa unachokiweza tu .hajawahi kumuonea yeyote ,hvyo kuwa mpole and enjoy the life [HASHTAG]#sote[/HASHTAG] nindugu