Karakwende
Member
- Apr 14, 2015
- 26
- 5
- Thread starter
- #21
Hamia CCM
Ha ha ha CCM?
Hamia CCM
unahitaji manyanyaso yasiyopungua miezi sita hadi mwaka .. utaipata tu naturally
Very interesting! Jana si uliwaona waliokamatwa msikitini au yule kijana wa Bihawana sec aliyekamatwa akiwa juu ya dari kule Garissa, Kenya? Jiunge nao utapata ujasiri wa ukatili unaoutaka.
iyoo nitakufa bureee!!!!
Kunywa maji ya betri
kula nyongo!!!
Ili ufanye nini? na kwa faida ipi?
Tembelea Goog
Anza biashara ya kuuza sumu hakika utakua na roho mbaya sanaaa.
Nicheki PM
KWANZA;
ITABIDI WEWE
UFANYIWE UKATILI.
NJOO PM....:embarrassed1::tape2::rip::A S cry:
Ha ha ha CCM?
uwoo mimi sitakii bali kwanye family yetu wananiona mi mpole xana
Kwa madhila haya ya CCM na hujawa katili basi hutakaa uwe katili.
Nahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?
ha ha ha haaah mkuu umenichekesha sana aisee. Tumekuwa sugu na madhila ya CCM