Wasalimie form two CNahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?
Hili jibu na njia sahihiHamia CCM
Mtafute big gift alieandika huu uzi Msaada: Nina roho mbaya sana jamaniNahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?
Embu tuwekee njia za kufuata hapaNicheki PM
Sawa mkuu nimekuelewa sana na mungu akubariki kwa ushauri mzur xana kwanguHabari wanajf ...natanguliza pole kwa kijana hapo kwa masahibu yanayomkuta mpaka anafikiria kuwa mwenye roho mbaya,napia nmeskitika kwakuwa kijana hajapewa ushaur badala yake ameanza kuonekana wakuja.katika jamii yetu saiv tumekuwa tunaendeshwa kwa hisia sana yaani wachache tu wakitoa mawazo hasi basi watu wengi wataunga mkono bila kuangalia upande wa pili.huju kijana aulizwe chanzo ninin mpaka afikirie hivyo ambapo sana sana atasema anatenda wema lakin anaumizwa had an watu ambao hategemei watamuumiza(he has put too much expectation in people)na ndokinachomuumiza ushauri wangu tenda wema uende zako.wakikuumiza jarib kuvaa viatu vyao .Mara nyingi muumba hukupa unachokiweza tu .hajawahi kumuonea yeyote ,hvyo kuwa mpole and enjoy the life [HASHTAG]#sote[/HASHTAG] nindugu
Ukitekeleza huu ushauri bila shaka utatimiza azma yako.Hamia CCM
Duhuuui ?? Kumbe wakatili walipitia hapoKWANZA;
ITABIDI WEWE
UFANYIWE UKATILI.
NJOO PM....:embarrassed1::tape2::rip::A S cry:
Mmmmmh ! De bora aendeleee kuwa mpoleunahitaji manyanyaso yasiyopungua miezi sita hadi mwaka .. utaipata tu naturally
Anataka aongezee japo kidogo aliyokuwa nayo aimtoshiRoho mbaya ni kama ipi Karakwende? Juzi umejiunga home to Great thinkers, jana umekuwa approved na leo unakuja na post hii?
Tutaona na kusikia mengi, wenzako huwa wanasalimia waliowakuta kwanza, kutokusalimia tayari ushaanza kuleta roho mbaya humu.
Inaonyesha una roho mbaya sana mpaka hapo.
Nahitaji maoni yenu mimi kijana wa miaka 23 nina roho ya huruma sana ila kwa sasa nahitaji kutoa roho hiyo, nifanye nini ili niweze kuwa na roho ngumu, mbaya mkatili nisiwe na huruma kabisa?
Upole unatakiwa wa kiasiMmmmmh ! De bora aendeleee kuwa mpole