Clinical Officer hajawa daktari bado...chapa book sana.Mimi nimemaliza kidato cha nne nataka niende chuo kusomea diploma ya clinical officer naombeni ushauri kuhusu ajira na mshahara uko vip kwa sasa.
Thanks.
kuwa dokta wa kukuThanks vip kuhus ajira
Oky thanksClinical Officer hajawa daktari bado...chapa book sana.
Soma kufuta ujinga.ukifikiria kusoma kwa ajili ya kazi na mshahara mzuri.ukimaliza ukakutana na tofauti ulivyofikiria mwanzo.
uwa hamchelewi kukata tamaa ya maisha.na kujiona umepoteza
Inategemea na bahati yakoThanks vip kuhus ajira
Nadhani angeandika idara ya afya...Clinical Officer hajawa daktari bado...chapa book sana.
Mkuu mpe ushauri mdogo wako huyo ...kuwa dokta wa kuku
Wengi wenye mawazo. Kama yako.mwisho wa siku wanakuja kujilaumu.Oky thankx ila lazima uwe na mipango ya baadae sio kufuta ujinga tu