Soma ukifike kidato cha 6 tena mchepuo wa PCB kisha ufaulu vizuŕi hapo utakuwa na sifa za kujiunga na course ya udaktari katika chuo chochote cha afyaMimi nimemaliza kidato cha nne nataka niende chuo kusomea diploma ya clinical officer naombeni ushauri kuhusu ajira na mshahara uko vip kwa sasa.
Thanks.
ajira ni bahati siku hiziiiii???? Bora uwee nanga zwazwa ila uwe na bahati maisha yataenda kuliko kujifanya mjuajiInategemea na bahati yako
Mimi nimemaliza kidato cha nne nataka niende chuo kusomea diploma ya clinical officer naombeni ushauri kuhusu ajira na mshahara uko vip kwa sasa.
Thanks.
Duu kama mwalimu tuuuMshahara ni laki sita na themanini ukikatwa makato unachukua almost laki tano kushuka chini
Kuwa tu mkuuu kwan uamuzi ni wako mimi wala hayanihusuMimi nimemaliza kidato cha nne nataka niende chuo kusomea diploma ya clinical officer naombeni ushauri kuhusu ajira na mshahara uko vip kwa sasa.
Thanks.
Duu kama mwalimu tuuu
Lijimama la uswahirini lenye majibu ya. .......kuwa dokta wa kuku
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]kuwa dokta wa kuku
Mkuu mayya si uswahirini ni uswahiliniLijimama la uswahirini lenye majibu ya. .......
Clinical office siyo daktari kijana.unakasafar bado.kaza.Clinical Officer hajawa daktari bado...chapa book sana.
7k kweli kabisa au umekurupuka ndugu?7k.kadhaa kama cjakakosea
Ndugu, ni safari ndefu kidogo. Diploma tu ni miaka 3, kisha uje usome degree miaka 5 na mmoja was mafunzo kwa vitendo. Jumla Tisa ndio uwe doctor, sikuvunji moyo ila ni vema utambue hill mapema. Ila kama unapenda kwa dhati inawezekana kabisa. Hivyo ndio nijuavyo mm juu ya kuwa doctor kupitia clinical officerMimi nimemaliza kidato cha nne nataka niende chuo kusomea diploma ya clinical officer naombeni ushauri kuhusu ajira na mshahara uko vip kwa sasa.
Thanks.
Hivi kwanini huu mwaka wa internship huwa mnauhesabu wakati mtu anakua tayari anatibu na mapesa analipwa?Jumla minane bwana huo wa tisa mambo yanakuaga yameivaNdugu, ni safari ndefu kidogo. Diploma tu ni miaka 3, kisha uje usome degree miaka 5 na mmoja was mafunzo kwa vitendo. Jumla Tisa ndio uwe doctor, sikuvunji moyo ila ni vema utambue hill mapema. Ila kama unapenda kwa dhati inawezekana kabisa. Hivyo ndio nijuavyo mm juu ya kuwa doctor kupitia clinical officer