Nataka kuwa doctor naombeni ushauri

Nataka kuwa doctor naombeni ushauri

unataka kusoma clinical officer,me naona ungesubiri matokeo yatoke utajua utaenda wap vile vile just pray nacte wakuchague mapema kwa maana mwak jana kilikuwa kivumbi watu wame apply had mara mbili na bado wakachemka...Vile vile unaweza kusoma na ukafanya kazi nyingine kwa mfano me nimesoma human resource <degree>ila saivi ni dereva na maisha yanaendelea ukisoma kwa sababu ya kuwazia mshahara utachemka
Msaada; Nikiomba tena nafasi chuoni nitapata?
 
Back
Top Bottom