Nataka kuuliza ila naogopa!!!!

Nataka kuuliza ila naogopa!!!!

ndyoko

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
4,971
Reaction score
1,653
Kuna jambo nimetamani kulijua ila naogopa 'maneno' ntakayoporomoshewa naweza nikakosa usingizi wa leo!!!!!!!
 
sema tu mkuu! hii ni home of great thinkers hawana noma>>>........
 
nilishaambiwa mimi ni mkabila kwa kuwa nilikuwa nataka kujua ukweli wa kabila fulani la mkoa wa kaskazini mwa tanzania
 
Mficha maradhi kifo humuumbua, na mficha uchi hazai! Ila kwa mademu wa kileo hakuna anaeficha uchi!
 
Mficha maradhi kifo humuumbua, na mficha uchi hazai! Ila kwa mademu wa kileo hakuna anaeficha uchi!

huko umeenda mbali sana mkuu, mbona mnawaonea sana hao viumbe, why? Kama hawafichi basi kuna ambao nao hawafichi kama ilivyo kwa mademu
 
kama umeshindwa kuuliza basi huna jipya
 
nilishaambiwa mimi ni mkabila kwa kuwa nilikuwa nataka kujua ukweli wa kabila fulani la mkoa wa kaskazini mwa tanzania

Sema usikike. Kama unaogopa mashushu ya watu usowajua we HUFAI
 
Mie nishjua ulitaka kuuliza nini! aisee nakuomba usije ukauliza hilo swali, utanangwa humu mpaka upate presha.............
 
Mie nishjua ulitaka kuuliza nini! aisee nakuomba usije ukauliza hilo swali, utanangwa humu mpaka upate presha.............

Hahahahaaaaaaaa! umejuaje kaka, au ndo tuseme umerithi 'mikoba' ya shekhe yahya nini.......................!
 
Kama unashindwa kuweka hapa hadharani. Wa-PM member wote. Wakujibu kwa njia hiyohiyo.
 
Naona hapa tunauza kahawa kwa mtogole, napita tu mie na mipresha huwa stumii
 
Uliza tukutafune mzima mzima tukashushie na konyagi.
 
Ndyoko usiulize kakangu. Amini mtima wako. Kahawa imeisha humu?
 
Back
Top Bottom