Nataka kusafiri kutoka Mwanza kwenda Morogoro kwa pikipiki sanlg 125, naomba ushauri kitaalam

Umepaniki kijana kunywa maji baridi upoe haka ka mchezo hakahitaji hasira.
Born town wa wapi wewe?
We ni cowboy mmoja tu hivi ambaye huna lolote ila ushamba umekuzidi hata wanaosoma unayoandika wanajua we ni mshamba.
Ujinga ulionao kwamba mtu akimaliza form 4 kata basi ana mawazo finyu,we kama sio mshamba ni nani?
Haya nimekutolea mfano Diamond si yule pale na form 4 failure yake unamfikia hata robo?
Ndicho nilichotolea mfano kwamba usiwe na dharau na mimi sina upenzi saana na muziki wala Diamond sio role model wangu.
Huna lolote wala chochote zaidi ya kujikweza kwenye no.
Unanipiga biti za kishaaaaaamba eti unamjua Mack,hivi nani humu jf hamjui Mack?
Mtoto wa kiume pambana wanaume hatunaga hizo tabia,type ya mtu kama wewe ndio kama waleee utasikia (baba yangu flan)
(Shemeji yangu ni fulani)
Halafu watu kama wewe ni wabaguzi wa kazi na kujikweza yaani jinsi unavyoandika ndio nazidi kukusoma.
Halafu wewe unapenda short cut kwenye maisha angalia usiwe mwizi na acha uvivu.

Pia fanya kazi jitume utatoka unawaza saaana ngono na imekujaa na imetawala kichwa chako ndio maana unaandika upumbavu na matusi.
Mimi nimekusoma wewe ni mtu wa design hio anza kusoma vitabu uwe wise kijana.
Acha ushamba wa kujikweza ni tabia ya kizamani.
Vijana sasa inapaswa tufanye kazi,tujitume tupendane sio kudharau wenzio.
Fanyia kazi.
Wewe ni kula kulala kamwe huwezi kuniambia kitu eti nifanye mara nachagua kazi,kweli nachagua kazi,siwezi kazi ya kuzibua marinda,ambayo wewe umezoea.
Eti unapenda short cut!??? Unafurahisha nafsi yako kuandika ujinga.
Nikianza kuandika status yangu halisi si ndio chupi itagonga mav*
Ficha ujinga wako,usirudie kokomenti pumba kwenye post za wanaume wewe dogo,utavalishwa dera endelea tu!!
 
Mwanza moro kwa pikipiki mbona umbali wa kawaida sana, ukiondoka saa 12 saa mbili ushafika
 
Wewe ni kula kulala kamwe huwezi kuniambia kitu eti nifanye mara nachagua kazi,kweli nachagua kazi,siwezi kazi ya kuzibua marinda,ambayo wewe umezoea.
Eti unapenda short cut!??? Unafurahisha nafsi yako kuandika ujinga.
Nikianza kuandika status yangu halisi si ndio chupi itagonga mav*
Ficha ujinga wako,usirudie kokomenti pumba kwenye post za wanaume wewe dogo,utavalishwa dera endelea tu!!
Unaona sasa unavyojipandisha,wenye status huwa hawasemi wanaonyesha,hebu onyesha na mimi nikuonyeshe,sikutaka tufike huko,bro.onyesha na mimi nikuoneshe tuoneshane.
 
Wewe ni kula kulala kamwe huwezi kuniambia kitu eti nifanye mara nachagua kazi,kweli nachagua kazi,siwezi kazi ya kuzibua marinda,ambayo wewe umezoea.
Eti unapenda short cut!??? Unafurahisha nafsi yako kuandika ujinga.
Nikianza kuandika status yangu halisi si ndio chupi itagonga mav*
Ficha ujinga wako,usirudie kokomenti pumba kwenye post za wanaume wewe dogo,utavalishwa dera endelea tu!!
Status yako halisi ya wapi we mtunza bustani,unajipandisha huna kitu na nilisema toka mwanzo huna lolote na watu kama ninyi nawafahamu vizuri,unatishia eti una status wakati una miaka mi 5 unalima bustani tena kwa kulipwa ujira mdogo,narudia tena acha kujipandisha na tabia za dharau sikupenda tufike huku ila umetaka mwenyewe.
Any way sasa umepata kazi au bado?
Kama bado nambie nikupe kazi hata ya usafi hapa kwangu.
Mi naweza kukulipa wewe hata milioni kwa mwezi ,,,naweza kuingiza hadi $90 kwa siku ukitaka uthibitisho nakuonesha.
Sipendagi sana hizi tabia za kujikweza ila imenibidi nikupe ukweli wako.
Sema kama unaweza kufanya kazi za usafi nikupe ajira kwenye apartment yangu hata ya kupiga deki.
 
Mimi ndo zangu Masafa marefu kwa pikipiki sinaga hofu ila kwa aina ya hiyo chombo sikushauri kabisa snlg haikutengenezwa for long-distance travels mkuu utapata tabu ,at least ungekuwa na Yamaha xpl cc 650
 
Wewe ni kula kulala kamwe huwezi kuniambia kitu eti nifanye mara nachagua kazi,kweli nachagua kazi,siwezi kazi ya kuzibua marinda,ambayo wewe umezoea.
Eti unapenda short cut!??? Unafurahisha nafsi yako kuandika ujinga.
Nikianza kuandika status yangu halisi si ndio chupi itagonga mav*
Ficha ujinga wako,usirudie kokomenti pumba kwenye post za wanaume wewe dogo,utavalishwa dera endelea tu!!
Natumia macbook pro nimeinunua amazon $2300,kwa sababu unataka tuoneshane haina shida niliona post yako unatafuta kazi ya kutunza bustani,mi nina nia ya kukuajiri kwenye apartment ninayoishi.

Si wewe huyo unaomba kazi?

mchichapori.png
gard.PNG



mchichapori.png

Nioneshe na wewe status yako kabla sijakuonesha adsense account yangu na mark x nilioinunua mwezi jana.
twende twende bro.
 
Status yako halisi ya wapi we mtunza bustani,unajipandisha huna kitu na nilisema toka mwanzo huna lolote na watu kama ninyi nawafahamu vizuri,unatishia eti una status wakati una miaka mi 5 unalima bustani tena kwa kulipwa ujira mdogo,narudia tena acha kujipandisha na tabia za dharau sikupenda tufike huku ila umetaka mwenyewe.
Any way sasa umepata kazi au bado?
Kama bado nambie nikupe kazi hata ya usafi hapa kwangu.
Mi naweza kukulipa wewe hata milioni kwa mwezi ,,,naweza kuingiza hadi $90 kwa siku ukitaka uthibitisho nakuonesha.
Sipendagi sana hizi tabia za kujikweza ila imenibidi nikupe ukweli wako.
Sema kama unaweza kufanya kazi za usafi nikupe ajira kwenye apartment yangu hata ya kupiga deki.
Mm nasaidia watu kutafuta kazi,wengine walikuwa vijana wangu wa kazi.Mpigie huyo mwenye namba muulize nani anayetafuta kazi na nani aliyeweka tangazo lake JF.
Wewe unadhani mimi ndio natafuta kazi?
Bongolala wewe,maisha yako yote huwezi niajiri mimi.
Usinichoshe dogo!
 
Natumia macbook pro nimeinunua amazon $2300,kwa sababu unataka tuoneshane haina shida niliona post yako unatafuta kazi ya kutunza bustani,mi nina nia ya kukuajiri kwenye apartment ninayoishi.

Si wewe huyo unaomba kazi?

View attachment 967568View attachment 967570


View attachment 967568
Nioneshe na wewe status yako kabla sijakuonesha adsense account yangu na mark x nilioinunua mwezi jana.
twende twende bro.
Hongera kuwa na Mark X,hiyo ni dream car yako!
Utoto ni raha sana.
 
Wewe ni kula kulala kamwe huwezi kuniambia kitu eti nifanye mara nachagua kazi,kweli nachagua kazi,siwezi kazi ya kuzibua marinda,ambayo wewe umezoea.
Eti unapenda short cut!??? Unafurahisha nafsi yako kuandika ujinga.
Nikianza kuandika status yangu halisi si ndio chupi itagonga mav*
Ficha ujinga wako,usirudie kokomenti pumba kwenye post za wanaume wewe dogo,utavalishwa dera endelea tu!!
Mm nasaidia watu kutafuta kazi,wengine walikuwa vijana wangu wa kazi.Mpigie huyo mwenye namba muulize nani anayetafuta kazi na nani aliyeweka tangazo lake JF.
Wewe unadhani mimi ndio natafuta kazi?
Bongolala wewe,maisha yako yote huwezi niajiri mimi.
Usinichoshe dogo!
Una mawazo mgando na uongo wa kitoto,hivi kwa nini mtu atumie account yako kutafuta kazi?
Jf kuunga account ni buree wewe unawatafutia kazi kama nani?
Kwani yeye anashindwa kuunga account?
Bro dont pretend,be real,unafikiri uta fake mpaka lini?
 
Una mawazo mgando na uongo wa kitoto,hivi kwa nini mtu atumie account yako kutafuta kazi?
Jf kuunga account ni buree wewe unawatafutia kazi kama nani?
Kwani yeye anashindwa kuunga account?
Bro dont pretend,be real,unafikiri uta fake mpaka lini?
Huelewi maisha,unadhani kila mtu ana access ya JF,unadhani kila mtu ana smart phone??
Mimi ni mwajiri wao huwa nawapa part time job hao vijana.
Ukiangalia nyuzi zangu za nyuma nimewaombea kazi wapishi,waitress,electrician,gardener etc
Unadhani fani zote hizo ni zangu?
Grow up!
 
Jishangae sasa mwenyewe unayeilinganisha jf na fb.
Kumbe jibu unalo!!
Kupitia hii chatting fupi nimeona IQ yako ni ndogo we unadhan mtu akiishia form 4 ndio mjinga?Acha dharau hazitokufikisha kokote,pia acha ujuaji na kujiona,,( eti ooooh nafahamiana na Mack.)
Yaan wewe ni mtu fulan wa kujirate sana kwamba una kitu na pia una dharau fulani hivi zisizo na faida.
Diamond Platinumz ni form 4 yule wewe unamzidi nini?
Humzidi hata kuongea english na kusoma kwako private school.
Shule haitoshi kudefine maisha ya mtu na pia vitu vinabadilika.
Mazingira ni shule kubwa sana kwa maisha ya mwanadamu usishangae mtu aliyemaliza kata form 3 akakuzidi kila kitu ktk maisha hadi kufikiri.
Umenena Vema Mkuu. Sina cha kuongeza.
 
ingekuwa pikpik ya timing chain kama boxer TVS hlx au SINORAY ungefika mapema kuliko bus...kuna jamaa yangu katoka dar juzi saa mbili asubuhi kumekucha na SINORAY ya timing chain kafika NJOMBE saa tisa alasiri umba ni km 700 alitumia takriban masaa 7...timing chain haitetemeshi wala hauchoki unakuwa na mwendo wako wastani kama 100kph unafika mapema kabisa
...ila hiyo sun lg utajuta utaomba kupakia njiani kwenye maroli maana full vibration hata manyoni hufiki utakuwa ushapigwa ganzi

kazi ya timing chain ni nini ...piki piki gani unayoijua haina ?? he inatumia mechanism gani kufungua valves na kufunga at the right time??
 
nenda kwa amani, mm niitumia boxer bm 150 toka musoma hadi moro siku moja. sikubadili oil, wala sikuwa na spana, wala maji ya kunywa. Wewe jikoki tu na uanze safari mapema, unafika salama salmini. Tena utakuwa na amani kuliko ukipanda basi. Safari njema nakutakia
 
Na ukifika huko baada ya siku mbili ngozi ya uso itaanza kuvuka kama nyoka jiandae.
 
Mnamtisha tu kama una uzoefu na pikipiki unatembea tena uzuri pikipiki hakuna cha hamsini wala nini ni gia gia
 
Back
Top Bottom