ndagalukwetu
Member
- Nov 30, 2018
- 14
- 9
Wakuu habari,nauliza ili nipewe mwanga hapa,naitaji kusafiri kutoka mwanza kwenda morogoro kwa pikipiki sanlg 125 cc,je wataalamu wanisaidie hapa nifanyeje ili nifike vzr na hii pikipiki? Ni mpya ina miezi miwili,
Naombeni mchanganuo nifanye lipi na lipi ili niweze kufika kwa usafiri huu
Naombeni mchanganuo nifanye lipi na lipi ili niweze kufika kwa usafiri huu