TheEagle90
New Member
- Jan 28, 2019
- 1
- 1
Nilifanya necta advanced 2016 nikafel nilipata principal moja,nikarisit 2017 nikafel;SWALI LANGU
Je nirudie tena ama nianze kusoma collage?
Na je nikitaka kufanya yote masomo matatu nakuwa kama risitaz ama candidate wa kawaida na inawezekana?Pia naskia wanaoludia mitihan yao inasahihishwa tofaut na wengine je nikwel?
Sent using Jamii Forums mobile app
Je nirudie tena ama nianze kusoma collage?
Na je nikitaka kufanya yote masomo matatu nakuwa kama risitaz ama candidate wa kawaida na inawezekana?Pia naskia wanaoludia mitihan yao inasahihishwa tofaut na wengine je nikwel?
Sent using Jamii Forums mobile app