Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,836
Kwenye zile amri, Kuna hata moja Ina neno "kuokoka" ???
Unataka kusemaje?
Sema tu tujadili na kujifunza pamoja !
Kwa hiyo unataka kusema nje ya Amri kumi hakuna cha kujifunza?
Kwenye zile amri, Kuna hata moja Ina neno "kuokoka" ???
Kuokoka ina maanisha kuachana na dem mpenda hélaKuokoka ndo kufanya nini?