Nataka kuokoka nifanyeje?

Nataka kuokoka nifanyeje?

mkuu wew kama mimi uzinzi umenishika nimeokoka mara nyingi mpaka nimechoka.
 
Umefanya uamuzi mzuri kama kweli umeamua toka ndani ya moyo wako hongera sana Yesu anakupenda.mtafute mchungaji yeyote wa kanisa la kiroho akuongeze sala ya toba na usirudi tena kutenda dhambi



hayo makanisa ya kiroho ni yapi hayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom