Nataka Kuoa Nitulie, Msaada Please

Nataka Kuoa Nitulie, Msaada Please

any...... bora tu iwe na caffeine......lol!

Ngoja nikutengenezee hii iliyoandaliwa kienyeji na haina mchanganyiko na chochote! Ila na wewe uahidi kuwa utamsaidia huyo ndugu aache mawazo ya kuoa mkoa aoe binti atakayempenda. Akianza kutafuta mkoa atachanganyikiwa maana siku hizi kuna mikoa mpaka ya Katavi na jamii kama hiyo.
 
Mkuu wewe unaoa mkoa au unaoa mke??

Wewe kama ni mwanaume na sio mvulana basi elewa kuwa stress hazi epukiki lolz..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ngoja nikutengenezee hii iliyoandaliwa kienyeji na haina mchanganyiko na chochote! Ila na wewe uahidi kuwa utamsaidia huyo ndugu aache mawazo ya kuoa mkoa aoe binti atakayempenda. Akianza kutafuta mkoa atachanganyikiwa maana siku hizi kuna mikoa mpaka ya Katavi na jamii kama hiyo.
mi hata sijui cha kumshauri..........
hivi ukimzimikia mtu unaanza kwanza kumwuliza wewe mkoa gani?
haja-fall bado, akisha-fall atakuja kutangaza tu hapa
 
wewe hauko serious na kuoa, ila najua kuna wadada humu wako so desperate wataku-PM tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom