Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 883
- 3,066
Wakuu mmebarikiwa sana
Mimi ni Kijana wa miaka 48, ninaishi kwa amani na wazazi wangu maana me ndio mtoto wao wa mwisho, mwezi uliopita nilipata mwanamke kibahatibahati tu basi katika kunogesha penzi letu nikaenda kumnunulia chupi dazeni nzima kwa elfu 9 kwa kweli ni chupi nzuri sana maana ni nyepesi na zinavutika mno.
Sasa jana kaniandikia sms kuwa kapata Mwanaume mwingine bora kuliko mimi, nimeamua kukubaliana na ukweli ila sasa nataka zile chupi zangu 12, hata kama kashazivaa mbili yaani juzi na jana basi nazitaka hivyohivyo mtumba nitajua mwenyewe nazipeleka wapo.
Naombeni msaada wenu anirudishie chupi zangu.
Mimi ni Kijana wa miaka 48, ninaishi kwa amani na wazazi wangu maana me ndio mtoto wao wa mwisho, mwezi uliopita nilipata mwanamke kibahatibahati tu basi katika kunogesha penzi letu nikaenda kumnunulia chupi dazeni nzima kwa elfu 9 kwa kweli ni chupi nzuri sana maana ni nyepesi na zinavutika mno.
Sasa jana kaniandikia sms kuwa kapata Mwanaume mwingine bora kuliko mimi, nimeamua kukubaliana na ukweli ila sasa nataka zile chupi zangu 12, hata kama kashazivaa mbili yaani juzi na jana basi nazitaka hivyohivyo mtumba nitajua mwenyewe nazipeleka wapo.
Naombeni msaada wenu anirudishie chupi zangu.