Nataka kuoa ila masharti magumu

sio jukumu la mke unayekwenda kumwoa kulelea watoto uliowazaa zamani.....ni jukumu lako kuwalea hao watoto wakiwa kwa mama zao...... hebu jiulize unampata binti wa miaka 25 unampachika majukumu ya kulea watoto 4 wenye umri karibu na wakwake ataweza kweli
 
Kaka we kondomu ulikuwa huzioni au? Mitoto mi4 unataka umpelekee msichana mbichi huoni aibu au? Zaa tu nje manake ndio utaratibu wako wa maisha.

kondomu....mmm...huku ughaibuni hazikuepo....ukibahatika kuzipata basi baada ya tendo unaziosha na kuzianika kutumika wakati mwingine. bahati mbaya zilipatikana tu na matajiri tena kwa bei ya juu. pili sioni tofauti kati ya msichana mbichi na aliyezaa...matunzo baba yatosha kumbadilisha mtu nami nipo tayari
 
Nina umri usiozidi 31, nina watoto 4 kila mmoja na mama yake, wa kwanza nilimpata nikiwa sekondari, wa pili nikiwa chuoni, wa tatu nikiwa internship na wa nne nikiwa chuoni tena. Wawili kati ya hao wadada wameshaolewa, natamani sana kuoa sasa. Nilipowaendea hao wawili waliobaki kila mtu kwa nafasi yake walikubali ombi langu ila hakuna anayetaka kuletewa mtoto wa nje. Nimeshindwa nifanyaje kwasababu siwezi kuwa mbali na wanangu, hivi sasa nimeshawachukua wawili wapo boarding school na hao waliobaki natarajia kuwachukua ASAP. Wanajamvi natamani sana kuoa lakini mambo ndo hivo yalivyo. Nifanye je?

Ina maana kwa sasa nawe uko kwenye hiyo boarding school?
 
sio jukumu la mke unayekwenda kumwoa kulelea watoto uliowazaa zamani.....ni jukumu lako kuwalea hao watoto wakiwa kwa mama zao...... hebu jiulize unampata binti wa miaka 25 unampachika majukumu ya kulea watoto 4 wenye umri karibu na wakwake ataweza kweli

Mshauri basi afanyeje?
 
sio jukumu la mke unayekwenda kumwoa kulelea watoto uliowazaa zamani.....ni jukumu lako kuwalea hao watoto wakiwa kwa mama zao...... hebu jiulize unampata binti wa miaka 25 unampachika majukumu ya kulea watoto 4 wenye umri karibu na wakwake ataweza kweli

ni kweli blackee ila ila msichana wa miaka 25 nimempisha kwa miaka 6 which is ok ambao watoto ni kama wake. ijapo kuwa mwanangu wa kwanza mkubwa lakini sio kiasi cha kutisha( 12yrs considerable). sitaki anilelee watoto ila kuna maids naweza kuajiri isipokua nataka wanangu nikae nao under one roof
 
man, nafikiri haupo serious, situation kama hizi zinatokea haswa ukizingatia situation niliyokua nayo ya ustudent. sasa mimi m2mzima nataka kusttle

man nadhani wewe ndio haupo serious...ugumu wa wewe kuoa umeuleta mwenyewe so usitake kumlaumu yoyote kwa kutokuwa serious hapa.
 
man nadhani wewe ndio haupo serious...ugumu wa wewe kuoa umeuleta mwenyewe so usitake kumlaumu yoyote kwa kutokuwa serious hapa.
ok basi inamaanisha huu ndo mwisho wangu wa maisha? sitapata kipusa wa miaka 25-28?
 
kaka, tatizo lako ni kubwa kuliko nilivyofikiria! kama ni malaria hii ni 10,000 sio 2! hadi chuo hujajua ukikutana kimwili na mwanamke bila kinga atabeba mimba? na sio jukumu lako, ni hesabu 'zao'! Aisee, ngumu kumesa! market ya mwanaume sio kuvaa mashati mazuri na kuwa na bank balance kaka! ni pamoja na uwajibikaji! wa kwanza alikuwa hajui mahesabu, wa pili naye kadhalika! wala hukugundua ungeweza kuenda tuition ukagundua na ww jinsi ya kufanya mahesabu, ukarudia tena! inabidi sasa upate mhandisi kabisa! na mdogo ana miaka 3, unadhani utakayeoa anajua mahesabu manake 3 yrs ago hukujua mahesabu? wasi wasi wangu mkuu ni huu ulowekaji wako na maradhi haya ya sasa. inabidi ujifunze sio mahesabu tu, bali calculus pia! nina wasiwasi hujajifunza kutokana na makosa, na niamini, mwanamke mwenye akili zake timamu atakupiga interviwe hadi ukasirike. nakuandaa tu kukutana na challenges.
ahahahahahah...hii yako sasa kichekesho. mimi sina malaria dogo ni hali halisi ilivyo. nina miaka 3 sijaloweka kwa yeyote. mfano mwezi jana nilichukua likizo sikwenda popote ila ulikua wakati wangu mzuri wa kutafakari na kujisaili na jibu nimepata. nataka kuoa mke na wala sitaki MWANAMKE WA KUMFANYIA TESTING KAMA GARI KABLA HUJALINUNUA. niko serious na sifanyi mzaha beste. hai na hai mbuya..ngiaria tiki mwanamae
 
Umeshapima UKIMWI kama hujapima inabidi ukapime manake wanawake wanne tofauti wote hujatumia condomu kavukavu inatisha
 
smtimes kuna makosa huwa tunayafanya ujanani bdae yanatucost sn. See how unahangaika? From now control urself kakangu wasije wakawa 5 6 tabu ikaongezeka. Unaweza ukaendelea kumwomba Mungu akupe mke atakaewapenda hao wanao ipasavyo. Punguzu ngono zembe 2lia one day utampata tu

asante kaka. ubarikiwe sana. nimetulia huu mwaka wa 3 simjui yeyote. stress hazikunipa raha ya ngono. nimezoea. I PROMISE HAITATOKEA ongezeko na ikitokea basi ni kwa niliyempata wangu wa ndoa ambaye nitamtambulisha hapa hapa jamvini.
 
Umeshapima UKIMWI kama hujapima inabidi ukapime manake wanawake wanne tofauti wote hujatumia condomu kavukavu inatisha
ureni nadhani wewe unaogopa ukimwi sana kuliko Mungu kwasababu ukimpenda Mungu ndo chanzo cha kila bora. mimi si mgonjwa wa aina yoyote. uhakika upo. certificate ya FBP ninayo na ndo maana nataka KUOA SASA
 
nataka ufahamu mimi si kiwembe, ningelikua kiwembe tungezungumza mengine saa hii. pilinilishabadilika kwani mtoto wa mwisho ana miaka mitatu. sina nia ya watoto wengi ila kwa mwanamke akipendezwa nami nitaridhia kumpa wawili. najua sio poa niliyofanya lakini siwezi kuwatupa wanangu

Hapo bold nimepapenda lazima upende wanao bwana. Kuhusu kuoa mh! inabidi uvute subira maana mtu akisikia watoto wanne lazima astuke kidogo. Ila hakuna linaloshindikana utapata tu ubavu wako.
 
jiulize nani bora kati ya mke na watoto ukipata jibu utajua la kufanya.
 
ni kweli blackee ila ila msichana wa miaka 25 nimempisha kwa miaka 6 which is ok ambao watoto ni kama wake. ijapo kuwa mwanangu wa kwanza mkubwa lakini sio kiasi cha kutisha( 12yrs considerable). sitaki anilelee watoto ila kuna maids naweza kuajiri isipokua nataka wanangu nikae nao under one roof

Itakuwa vigumu kwa kizazi hiki labda kile cha 47 walikuwa na upendo tofauti ... wasichana wa dot com akulele watoto 4 mmmmmhhh.... ...... umesema pesa sio shida unazo haswa kuwa mwangalifu unaweza mpata mke kutokana na pesa zako akakubali kuolea na wewe pamoja na kuwalea hao watoto lakini mwisho wa siku utapata habari yako hao watoto utatamani ungewaacha kwa mama zao..... Mwombe Mungu akujalie mke mwema atakaye kubaliana na majukumu hayo....nakushauri usiwe na haraka ya kuoa hata pamoja na umri unazidi kwenda panga mambo yako kwanza kuhusu malezi/future ya watoto
 
asante kaka. ubarikiwe sana. nimetulia huu mwaka wa 3 simjui yeyote. stress hazikunipa raha ya ngono. nimezoea. I PROMISE HAITATOKEA ongezeko na ikitokea basi ni kwa niliyempata wangu wa ndoa ambaye nitamtambulisha hapa hapa jamvini.
mi mdada wewe!
 
hahaha! Mentor unamcheka mwendhio yakija kukukuta...utashaaa!

Haha..ati ntashaa..na nani!??
nishaacha uzinzi mwenzio and thank God sikupata hiyo punishment (ndiyo naiita punishment...refer charndams's situation)...sasa hivi nimetulia..av seen my miss right, we just taking our sweet time towards a lifetime together!!!
Sasa huyu mara nne!?? kweli??? hauwezi kuwa haujalew..
Chonde chonde...Ulevi, noma!lol
 
hawataki kuletewa watoto wa nje maana inaonekana wewe ni kiwembe so unaweza kuwajazia timu toka out.....Badirika kwanza then ndio uchukue hiyo hatua. watoto 4 kila mmoja na mama yao sio poa.


kwa taarifa yako wanaume viwembe huwa hawajiachii kwa kuza ovyo ovyo hivyo............................................
 
Back
Top Bottom