Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
sio jukumu la mke unayekwenda kumwoa kulelea watoto uliowazaa zamani.....ni jukumu lako kuwalea hao watoto wakiwa kwa mama zao...... hebu jiulize unampata binti wa miaka 25 unampachika majukumu ya kulea watoto 4 wenye umri karibu na wakwake ataweza kweli