Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
Hivi inasaidiaga eehUshauri wa ziada.
Anza kula matikiti 🍉 kwa sana...Tafuna na mbegu zake.
Hivi inasaidiaga eehUshauri wa ziada.
Anza kula matikiti 🍉 kwa sana...Tafuna na mbegu zake.
Mkuu piga 🍉 🍉 ya kutosha.Hivi inasaidiaga eeh
Nini siri yaakeMkuu piga 🍉 🍉 ya kutosha.
Formula ya kwanza hiyo...
Nakazia kuleni matikiti na mihogo mibichi ninyi.Mkuu piga ya kutosha.
Formula ya kwanza hiyo...
Hongera mkuu Karibu chamaniKuna binti wa kisukuma nina mpango wa kumuoa na home kwao tiyari natambulika. Nipeni maujuzi ya kujianda na ndoa na maisha ya ndoa maana soon nataka nianze process za ndoa.
Kuhusu dini yeye Pentecosti na mimi Moroviani