Nataka kuoa baada ya Ramadhan

Nataka kuoa baada ya Ramadhan

Mwanamke ni kama bati usipoligongea misumari imara utalikuta kwa jirani usilaumu kimbunga.............

Tunza mkeo. Shauri yako
 
Ahahahahahhaha yan nacheka kwa nguvu hata bila kujali kama ishakua usiku punguza bas jaman had naona haya


Halafu notification zako sizipati sijui kwa nini, narejea kwa bahati nikiuona uzi niliochangia
 
Back
Top Bottom