Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 77,972
- 165,436
Jamani nataka kununua Xtrail, lakini watu wananiambia eti ni mabovu, nimemuuliza aliye niambia kuwa mabovu kuwa yana ubovu gani anasema hajui ubovu wake, ila ameambiwa kuwa sio imara.
Naomba wenye experience na magari haya mnijuze kama ni kweli si imara au ndio naonewa wivu
Naomba wenye experience na magari haya mnijuze kama ni kweli si imara au ndio naonewa wivu