Nataka kununua Land Rover Discovery

Burudani kabisa
 
Nashukuru kwa ushauri wazo ni Discovery 4
 
Wauzaji wa parts Tanzania kwa magari ya Ulaya wanauza bei za juu sana muda mwingine bei inazidi mara mbili bei ya kununulia..
Na hilo ndio tatizo letu nafikiri ningekuwa mfanyabiashara wa spare parts basi ningekuwa wa kipekee kwa kuuza affordable price maana naona wazambia wanaunua brand nyingi tuu sisi Bado Toyota sana nafikiri hiyo ndio sababu unawaza kusubiria spares
 
Na hilo ndio tatizo letu nafikiri ningekuwa mfanyabiashara wa spare parts basi ningekuwa wa kipekee kwa kuuza affordable price maana naona wazambia wanaunua brand nyingi tuu sisi Bado Toyota sana nafikiri hiyo ndio sababu unawaza kusubiria spares
Hata hivyo parts tunaleta kwa bei nzuri inategemeana na muuzaji..
 
Kama uchumi wa kati, nakushauri ununue Toyota tu mambo yasiwe mengi.

Mshana Jr ananielwa vizuri nnachomaanisha.
Mkuu mnaposema Toyota mnaanisha nini maana nina engine za Toyota hapa nabeba kwa ajili ya kwenda kupachika kwenye magari yaliyoua Engine huko Tanzania, ila hizi pick up bei zake za vipuri na Ford ni mtu na mjomba ake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…