Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,939
- 67,459
Hii gari naona ipo poa sana je kwa watumiaji hii gari ina changamoto gani nataka kuijua zaidi uzuri wake pamoja na changamoto zake kwa wajuzi
Nunua gari za hybride.achana na magari ya kizamani
Excessive oli consumption na kupungua nguvu ukiwa unapanda milima
Gari nzuri sana haina shida
Anamaanisha yenye mfumo zaidi ya mmoja wa power mfano yenye mfumo wa mafuta na umeme ndani ya gari Moja Aya mafuta na gas....na zipo nyingi saiv kwaio achana na izo gari za zamani...mUkiwa na maana gani
Anamaanisha yenye mfumo zaidi ya mmoja wa power mfano yenye mfumo wa mafuta na umeme ndani ya gari Moja Aya mafuta na gas....na zipo nyingi saiv kwaio achana na izo gari za zamani...m
Kwahy sio gari imarna izi
Na yanakuaga mazuri sana kwenye bajeti ni kuwa tu makini na betri maana zinakufaga usipozitunza vyema.....lakini zikogo economic...Kuna Moja inatumia Lita 1 km.29 imeizidi hadi ist na Bado inatumia umemeHapo nimeelewa mfano wa hayo magari
Na yanakuaga mazuri sana kwenye bajeti ni kuwa tu makini na betri maana zinakufaga usipozitunza vyema.....lakini zikogo economic...Kuna Moja inatumia Lita 1 km.29 imeizidi hadi ist na Bado inatumia umeme
Njoo nikuuzie premio yangu f
..Mfano wa ilo gar na bei zao
Toyota auris 2017 kuendelea mbele hakika utanishukuru
..
Chukua iyo gari chef.
Yeah. Zipo engine tatu, cc 1500, cc 1800 na cc 2000. Zote nzuri bila shida.Hainaga shida kwa uzoefu wako
Yeah. Zipo engine tatu, cc 1500, cc 1800 na cc 2000. Zote nzuri bila shida.
Hii gari naona ipo poa sana je kwa watumiaji hii gari ina changamoto gani nataka kuijua zaidi uzuri wake pamoja na changamoto zake kwa wajuzi