Hata hizo si Zimetumika Japannunua beforward.jp
za bongo tayari zinakuwa zimeshatumika.
Hata hizo si Zimetumika Japannunua beforward.jp
za bongo tayari zinakuwa zimeshatumika.
carina hapana, nilitaka nichukue verosa lkn nkapenda alteza koz gari iko simple sio luxurie sana mkuu; but thanks
Watu wengi walinunua Altezza kichwa kichwa bila kujua kwamba zimetofautiana engine size. Mtu anataka tu altezza bila kujua Altezza zina engine aina tatu tofauti. Ukiona wengi wanazikimbia jua kanunua yenye engine kubwa
Njoo nikupe Verossa iko bomba sana kwa bei hiyonina milioni 9 mzee; wi-fi hebu ni advice as your friend
uko wapi sahizi... ni pm picha ya hiyo gariNjoo nikupe Verossa iko bomba sana kwa bei hiyo
izo nasikia zina ubovu sana wa gearbox boyChukua BMW 3 series
izo nasikia zina ubovu sana wa gearbox boy
nilichukua subaru legacy b4 twins turbo tawi la sbt-dar es salaam apa inatembea balaaUnasikia? Endelea kusikia namiliki bmw 2 hazijawahi kunisumbua baba mjerumani ni kitu kingine no jokes
Mkiendelea kuzichokonoa na kuweka ATF zenu za kariakoo mtasema hivyo hivyo kila siku.izo nasikia zina ubovu sana wa gearbox boy
imenibidi nicheke kwanza
Mimi ningekushauri Escudo kwasababu kwanza ni gari ngumu kuliko RAV 4 model yoyote lakini pia Escudo nyingi ni 4wd kwa hiyo ni nzuri pia maana popote wewe ni kwako kwenye tope mchanga kilima kikali nkWazoefu wa magari naomba kuuliza gari ambayo inafaa kwa safari za vijijini ambapo hakuna lami.vip kati ya suzuki escudo na RAVA 4 ?
Kwa bei hiyo andaa kabisa simu yako iwe na nafasi ya kusave majina ya mafundi japo unaweza kupata kwa anayeuzia kwa shida ila ni wachache saaaanaMimi nataka ya Mil 4 used Vits au Passo ya foleni za mjini tuu