Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

Mi ninayo laini ya halotel ya m2m kifurushi cha 50000 ni unlimited
Brother naomb msaada kdg nataka kujiunga ich kifrush cha unlimited ila naona wameniandkia 24,6GB awajaandka unlimited kweny furaha, je ndo ichoicho unlimited alafu pia nmeskia kuna limit ya GB kma 24 iv zkiisha inakata
 
Wakuu kwa hizi gharama za bando nimefikiria ninunue kale ka wi-fi kadogo ka Airtel kwa aliyewahi kutumia naomba ushuhuda, je hakisumbui mtandaoni?
Kununuwa pocket wifi na kununuwa bandle la kawaida ni sawa tu.

Kama umeamua kununuwa wifi chukuwa unlimited ni nzr sn.
Niilianza na pocket wifi nikaona bandle linakwenda Kwa kasi sana na sasa nimetulia na unlimited wifi ya Airtel.
 
kako frsh ila inategemea na eneo unaloishi
kauzwa 45k to 50k unapata GB 20 bure kwa mwezi
kurecharge vifurushi vyake ni kuanzia 10k unapata GB 10, 20k unapata GB 20 hakan unlimited and so...
hakaendi sana MB
tatizo lake kuu hakakai na charge alaf kakipata watumiaje zaidi ya watatu kachemka kam oven ila kako frsh kwa matumiz yako binafs au na dem wko mnasave sana
Picha yake tafadhali.
 
Back
Top Bottom