Mwl.RCT
Platinum Member
- Apr 5, 2009
- 15,704
- 22,583
- Fikiria tena; Unlimited ndio mpango mzima, Kwa sasa speed ya internet ni kubwa, GB utakazonunua hazimalizi mwezi kwa hayo matumizi ya Videosmovie na videos naona haitanifaa
- Fikiria tena; Unlimited ndio mpango mzima, Kwa sasa speed ya internet ni kubwa, GB utakazonunua hazimalizi mwezi kwa hayo matumizi ya Videosmovie na videos naona haitanifaa
Mtandao upo vzuri sasa au wakutaftaNenda halotel shop nunua line ya M2M minimum ni GB 18 kwa sh 15000 kwa mwezi
Asante mkuu ngoja nijipange nichukue hiyo unlimited- Fikiria tena; Unlimited ndio mpango mzima, Kwa sasa speed ya internet ni kubwa, GB utakazonunua hazimalizi mwezi kwa hayo matumizi ya Videos
Ukiwa unacheki video sana si MB zinaenda chap kama bando la kawaida?Ninazo kama 3 hivi, moja naitumia, 2 bado mpya.
Ni nzuri kama uko town
UsijaribuWakuu kwa hizi gharama za bando nimefikiria ninunue kale ka wi-fi kadogo ka Airtel kwa aliyewahi kutumia naomba ushuhuda, je hakisumbui mtandaoni?
Asante mkuu ngoja nijipange nichukue hiyo unlimited
Duh! Bora umenisanua mapemaUsijaribu
Nimekitumia hicho kijamaa battery ikaanza kuvimba mwisho ikapasuka
Ngoja nitafute nichukue unlimited naona kitanisumbua tuNi kazuri kama uko kwenye safari zako!
Naamini kwa matumizi yako,recharge ya tsh.20 elf per month kanakutosha.
Mimi ninako, hua nina betri 2 , ikiisha moja naweka nyingine..tatizo nalo betri zake hazipatikaniUsijaribu
Nimekitumia hicho kijamaa battery ikaanza kuvimba mwisho ikapasuka
Nami ninavyo viwili hicho cha Airtel na Universal ila battery ndiyo hivyo tangu 2021 nahangaika hamnaMimi ninako, hua nina betri 2 , ikiisha moja naweka nyingine..tatizo nalo betri zake hazipatikani
Inauzwa 20000,Nami ninavyo viwili hicho cha Airtel na Universal ila battery ndiyo hivyo tangu 2021 nahangaika hamna
Shida malengo ya matumizi, wengine ni kuperuzi na vichache vichache vya kazini kwako kwahy unakuta bora haka kadogo,Kwa ushauri tu ni bora mtu achukue iko kipocket cha yas kuliko airtel, au kama sio mtu wa movement chukua halotel unlimited ni 50k kwa 20mbps na 79k kwa 30 mps, natumia ya 79 na kwakweli iko biziri mno
Kina gharama kubwa mkuu, nimeambiwa laki na nusuKwa ushauri tu ni bora mtu achukue iko kipocket cha yas kuliko airtel, au kama sio mtu wa movement chukua halotel unlimited ni 50k kwa 20mbps na 79k kwa 30 mps, natumia ya 79 na kwakweli iko biziri mno
Nilipaga comments nyingi za negative nikaona kama ntajichanganya nataka nifanye mpango ninunue ile kubwaVipi ulifanikiwa jirani?
Anhaa sawa, mimi kwa matumizi yangu MB za Tsh 30,000 zinatosha kwa mwezi.Nilipaga comments nyingi za negative nikaona kama ntajichanganya nataka nifanye mpango ninunue ile kubwa
Basi wewe inakufaa naonaAnhaa sawa, mimi kwa matumizi yangu MB za Tsh 30,000 zinatosha kwa mwezi.
Airtel hapana, kwa hapa nilipo airtel na Yas hazina network nzuri. Natumia Halotl na VodaBasi wewe inakufaa naona