Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

Hivyo vi pocket wifi vya mtandao flani wa rangi ya red sitaitaja lakini ni maumivu tu kuna mtu anayo analalamika kilasiku
 
ndio nipokete wifii ila kama unamatumizi makubwa ya bando ni vyema ukanunua cha halotel unlimited 50k per month unaunga tv smart, lqptop and so on. ila kabla hujanunua angalia eneo unaloishi halotel haisubui maan kuna baadhi ya maeneo miyayusho
Kumbe halotel wanayo ya 50k unlimited?

Je, gharama za kifaa (router) unaponunua mara ya kwanza inakuwaje?

Maana Airtel ukinunua kifaa kwa mara ya kwanza kwa 110k unapewa unlimited bundle kwa mwezi mzima kwa kasi ya 30mbps.

Then miezi inayofuata unaweza downgrade ukawa unanunua kifurushi cha 70k unlimited kwa mwezi.
 
Kumbe halotel wanayo ya 50k unlimited?

Je, gharama za kifaa (router) unaponunua mara ya kwanza inakuwaje?

Maana Airtel ukinunua kifaa kwa mara ya kwanza kwa 110k unapewa unlimited bundle kwa mwezi mzima kwa kasi ya 30mbps.

Then miezi inayofuata unaweza downgrade ukawa unanunua kifurushi cha 70k unlimited kwa mwezi.

Halotel wana pocket wifi inauzwa tsh. 60,000 nafikiri.
 
Kumbe halotel wanayo ya 50k unlimited?

Je, gharama za kifaa (router) unaponunua mara ya kwanza inakuwaje?

Maana Airtel ukinunua kifaa kwa mara ya kwanza kwa 110k unapewa unlimited bundle kwa mwezi mzima kwa kasi ya 30mbps.

Then miezi inayofuata unaweza downgrade ukawa unanunua kifurushi cha 70k unlimited kwa mwezi.
bei ya router na laini yke 180k
bundle 50k
 
ndio nipokete wifii ila kama unamatumizi makubwa ya bando ni vyema ukanunua cha halotel unlimited 50k per month unaunga tv smart, lqptop and so on. ila kabla hujanunua angalia eneo unaloishi halotel haisubui maan kuna baadhi ya maeneo miyayusho
Hicho cha halotel kulipia bei gani kwa mwezi?
 
Kumbe halotel wanayo ya 50k unlimited?

Je, gharama za kifaa (router) unaponunua mara ya kwanza inakuwaje?

Maana Airtel ukinunua kifaa kwa mara ya kwanza kwa 110k unapewa unlimited bundle kwa mwezi mzima kwa kasi ya 30mbps.

Then miezi inayofuata unaweza downgrade ukawa unanunua kifurushi cha 70k unlimited kwa mwezi.
Halotel hawana unlimited ya 50k, bali wanakupa gb , amabyo kimsingi sio unlimited
 
Nunua unlimited ya airtel sababu asa hivi bei yake ni tsh 110,000
  • Je kwa speed ile ya 10mps? au 30mbps?
  • Fuatilia upate ufafanuzi.
Maana waweza ingia kwa 110K, ukatakiwa kila mwezi ulipe 110K na sio kile kidogo cha 70K ( 10mbps )
---
 
Back
Top Bottom