Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

Nataka kununua Airtel 4G pocket Wi-fi

Mtandao wake unazingua sana?
  • Je kwa speed ile ya 10mps? au 30mbps?
  • Fuatilia upate ufafanuzi.
Maana waweza ingia kwa 110K, ukatakiwa kila mwezi ulipe 110K na sio kile kidogo cha 70K ( 10mbps )
---
Mimi nilinunua router nikajiunga kwa 110,000. Ikawa inazingua balaa nikasema ni upgrade kwenda 200,000. Hiyo ya laki mbili ikawa nsio hovyo kabisa bora na ile ya laki. Nimelitupa li ruta lao stoo.
 
Mimi nilinunua router nikajiunga kwa 110,000. Ikawa inazingua balaa nikasema ni upgrade kwenda 200,000. Hiyo ya laki mbili ikawa nsio hovyo kabisa bora na ile ya laki. Nimelitupa li ruta lao stoo.
Duh! Alafu Airtel wanazingua sana ujue kwasababu hapa jirani kuna mtu anayo nahisi analipiaga elf70 sasa ametuconnect watu kadhaa, wote mkiwa mnatumia kwa pamoja mtandao unajivuta mara idisconnect
 
kako frsh ila inategemea na eneo unaloishi
kauzwa 45k to 50k unapata GB 20 bure kwa mwezi
kurecharge vifurushi vyake ni kuanzia 10k unapata GB 10, 20k unapata GB 20 hakan unlimited and so...
hakaendi sana MB
tatizo lake kuu hakakai na charge alaf kakipata watumiaje zaidi ya watatu kachemka kam oven ila kako frsh kwa matumiz yako binafs au na dem wko mnasave sana
Nataka niwatumie kwenye CCTV camera nyumbani kwangu vipi katanifaa?
 
Mimi nilinunua router nikajiunga kwa 110,000. Ikawa inazingua balaa nikasema
  • Hii ni 30mbps
  • Speed hutegemea na [1] Location - je kuna full 5G au hakuna bali kuna 4G [2]. Default settings kwenye Router je ulibadili au uliacha zili zilizopo? [hint] Ukiacha default settings - inapelekea Router kujiswtich kutoka band moja kwenda band nyingine iliyo stable kwa eneo lako. Hapa ulichotakiwa kufanya ni kuseti band mojawapo ambayo ina speed nzuli lisha ya signal strength kuwa chini.
ni upgrade kwenda 200,000.
- Hapa ulichofanya ni ku_downgrade Mana Router ya 200K package yake in 10mbps. Hivyo umetoka kwenye 30mbps na kushuka hadi 10mbps
 
Watu wengi wanalalamikia wacha tu niendelee kuunga bando
Nimesoma comments zote,

Mimi natumia pocket wifi hiyo ya Airtel, naona inafanya kazi vizuri tu bila shida kulingana na matumizi yangu ya kila siku, ni matumizi ya wastani.

Pia, sikutaka hiyo kubwa kulingana na matumizi yangu,

Nilitaka ndogo ili iwe rahisi kuibeba na kutembea nayo mfukoni tu.

Kwangu ipo fresh tu, japokua ni 4G tu, na siyo kwamba nipo mjini sana kivile bali huku maeneo yenye "changanyikeni"

Gharama ni kama ulivyoambiwa, ila kama una matumizi makubwa, tafuta za juu zaidi, naona tigo na voda ziko fresh
 
Nimesoma comments zote,

Mimi natumia pocket wifi hiyo ya Airtel, naona inafanya kazi vizuri tu bila shida kulingana na matumizi yangu ya kila siku, ni matumizi ya wastani.

Pia, sikutaka hiyo kubwa kulingana na matumizi yangu,

Nilitaka ndogo ili iwe rahisi kuibeba na kutembea nayo mfukoni tu.

Kwangu ipo fresh tu, japokua ni 4G tu, na siyo kwamba nipo mjini sana kivile bali huku maeneo yenye "changanyikeni"

Gharama ni kama ulivyoambiwa, ila kama una matumizi makubwa, tafuta za juu zaidi, naona tigo na voda ziko fresh
Asante mkuu, ila mimi napendaga kucheki movie na videos naona haitanifaa
 
Back
Top Bottom