Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Nisingezungumza haya kama sina ushahidi wewe ndo naona unasema tu as if ulikuwepo au unamjua. Hapa kila mtu anaeleza experience yake na namna anavyoliona jambo. Anyway sishangai mana inaonyesha ndio nyie wote. Hivi kwanza unafahamu mtoto akiwa na umri fulani pia anatakia kufikia kilo fulani? Haya ninayo yazungumza nayafahamu ndio maana nikatoa ushuhuda wangu.
Usipanick bana. Mimi bado sijawa convinced kwamba eti mama anakula anamnyima mwanae, uzoefu wangu ni kwamba mama anajinyima anampa mwanae.