pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,710
- 6,372
Nipeni ushauri jinsi ya kumuhudumia mtoto bila mama yake kunufaika manayake sitaki huyu mwanamke aonje pesa zangu ninazotoa kwa ajili huyo mtoto, tangu nianze kutoa gharama za matunzo huyu mwanamke anazidi tu kunawiri inaniuma sana.