Safi sana kijana umeonyesha upovu sio yale yanayoropa tuuu
We kipato chako ni sh ngapi kwa mwezi?
Mwache tu anawiri si mama wa mtoto wako aiseeeh!Nipeni ushauri jinsi ya kumuhudumia mtoto bila mama yake kunufaika manayake sitaki huyu mwanamke aonje pesa zangu ninazotoa kwa ajili huyo mtoto, tangu nianze kutoa gharama za matunzo huyu mwanamke anazidi tu kunawiri inaniuma sana.