Wanaume tunakoseaga sana,unapokutana na dem kama huyo sio kwamba hana bwana,.bwana anakua nae ila hawez kwambia kua anae so akikukubalia wew ujue anakuweka kwenye mizani na huyo alienae,sasa wew inabid umwonyeshe mapenz ukifaham an mtu,so acha mawivu,we ukiona anaku ignore we mpetpet tuu,ujiona utata wa sim kama huo we chkulia poa tu,mwisho wa siku atakuzoea na atakupenda,mapenz ni mazoea bro,na badae akikupima akiona uko zaid ya jamaa yake ,atamwacha for good na kua nawew,sasa wew umejuana na dem fasta unaleta mawivu,.lazma umpe sabab ya kwanin amwache alienae na awe nawew,.mapenz ni mdogo mdogo na mazoea bro