Nataka kumpeleka mwanangu hapa

Nataka kumpeleka mwanangu hapa

[h=2]Notable Alumni[edit][/h]
  • Mohammed Dewji - Member of the Tanzanian Parliament
  • Usman Ally - Actor
  • Shamima Bhalloo - President of IST Alumni Association
  • Mariam Naficy - Founder and CEO of Minted, attended IST Elementary
  • Saurabh Khetrapal - entrepreneur
  • Gwamaka Kifukwe - researcher at UONGOZI Institute
  • Walter Kitundu - music composer
  • Mark Latham - music director at The New Hampshire Philharmonic, attended IST Elementary
  • Sue Stolberger - artist
  • Kali Ongala - footballer and coach Azam FC
  • Magdalena Moshi - swimmer

Mkuu, siwezi kuweka majina bila ya idhini yao.

Lakini kuna watoto wa wakubwa wengi wamesoma IST. Naongelea mawaziri na maraisi.

Hapo Juu, Saurabh ni Mtoto wa Expat wa India aliyekuwa Bongo. Kawahi kuingia Silicon Valley, CA, kauza people.com kwa monster.com na kuwa $ millionaire. Mjanja wa kwanza kuingia kwenye biashara za kuuza websites aliyeishi Tanzania.
 
Miaka hiyo ya 80 malipo yake yalikuwaje? Kwa hapa Tanzania, hata gharama za kusoma PhD hazijafikia hapo...
Wanafunzi wanaotoka hapo wanaendelea hatua inayofuata katika shule na vyuo vipi? Kama ni shule na vyuo hivi hivi tulivyosoma sisi akina Kayumba nahisi ni kufuru ya pesa tu...

Miaka ya 80, $10,000-15000 kwa mwaka kama sijakosea.

Siwezi kujua hatua za kila mwanafunzi kutoka hapo.

Top of the class, wanapata scholarship kusoma Ivy League universities.

Watoto wa mabalozi wanarudi kwao.

Wanafunzi wengine wanalipiwa na wazazi wao kusoma nje, hasa Marekani na Uiingereza.

Wengine hawafaulu, mchezo mwingi na kuzunguka mjini.

Ukumbuke, wanafunzi wengi wa Kitanzania wametoka kwenye familia yenye uwezo. Wengine wanaanza kufanya kazi katika biashara za wazazi moja kwa moja, hawataki kusoma tena.

Siyo kila anaemiza hapa, anataka kuendelea kusoma au kwenda nje au anapata scholarship.

Wewe na mini huenda hatutalipa fees hizi kwa watoto vilaza, Lakini wazazi wengine hawaoni hivyo. Kuna watoto huko wametoka kwenye familia zenye uwezo sana , tena old money. Hizo fees wala haziwasumbui kichwa.
 
I beg to differ. Again nimekupa mfano..kuna akina Masanja tumesoma shule za UPE za shs. 20..Lakini Mungu ametuongoza tukatoboa kwenye maisha. Lakini I can guarantee you in reality akina Masanja tunaotoboa notwithstanding our background ni wachache mno..ndo maana umasikini hauwezi kuisha.

Ukisoma shule kama hiyo hata exposure unayoipata ni zaidi ya University. Mf. Mimi kwa mara ya kwanza nimemiliki laptop nilipokwenda kufanya masters nje ya nchi!! Nimetumia internet..(Imean kuitumia..siyo hizi za facebok na IG) nimemaliza Form six.. Ila mtoto wa hizo shule anafanya niliyofanya akiwa darasa la kwanza na kunizid!!!

lets face it ni umasikni tuu ila shule kama hizo zinasaidia sana vijana wetu....

Pamoja na kukubaliana na hali hiyo, bado naamini kwamba upo uwezekano wa shule nyingi kufanya hayo wanayofanya katika hizo shule kwa gharama ndogo kuliko hizo ada. But that's their business, hata kama wangeweka annual fees $40,000, naamini watu wangepeleka watoto wao. Someday, some people will rise and provide education with comparative quality at a much cheaper cost. But the days are stll beyond horizon. For now let he who has the money spend it the way he sees fit!
 
Hapo ni mwisho wa mchezo.

Nimebahatika kusoma hapo miaka ya 80.

Siku hizi bei yake kubwa mno kama ya kwenda chuo kikuu.

Unamaanisha Chuo Kikuu gani? Oxford na Cambridge au UDsm na UDom?

Vv
 
Kana mshkaji wangu alipataga scholarship hapo enzi hizo baada ya kufaulu vizuri O Level, aliambiwa alipe 30% percent ya ada mzee wake bado akapiga chini, shule nzuri sana.
 
Miaka ya 80, $10,000-15000 kwa mwaka kama sijakosea.

Siwezi kujua hatua za kila mwanafunzi kutoka hapo.

Top of the class, wanapata scholarship kusoma Ivy League universities.

Watoto wa mabalozi wanarudi kwao.

Wanafunzi wengine wanalipiwa na wazazi wao kusoma nje, hasa Marekani na Uiingereza.

Wengine hawafaulu, mchezo mwingi na kuzunguka mjini.

Ukumbuke, wanafunzi wengi wa Kitanzania wametoka kwenye familia yenye uwezo. Wengine wanaanza kufanya kazi katika biashara za wazazi moja kwa moja, hawataki kusoma tena.

Siyo kila anaemiza hapa, anataka kuendelea kusoma au kwenda nje au anapata scholarship.

Wewe na mini huenda hatutalipa fees hizi kwa watoto vilaza, Lakini wazazi wengine hawaoni hivyo. Kuna watoto huko wametoka kwenye familia zenye uwezo sana , tena old money. Hizo fees wala haziwasumbui kichwa.

Well said!
 
attachment.php


Hivi kwa wanofahmu TUITION + ROOM & BOARD pale UDSM kwa B.Sc. ni kiasi gani kwa mwaka?
 
Kama unafanya kazi hapo, watoto wako wanasoma bure. Sijui siku hizi, kwa walimu wa Kiswahili.

Pia, division 1 wa Tanzania walikuwa wanapewa scholarship ya kusoma IB one and two (form 5 & 6) halafu wakasimamisha.

Hata kazi ya kufuta vumbi mdau ama tutume maombi fasta.
 
Unamaanisha Chuo Kikuu gani? Oxford na Cambridge au UDsm na UDom?

Vv

Naamanisha, college education in general. Anywhere.

Inategemea na mwanafunzi.

Oxford na Cambridge?
Ivy League?
Haitoshi16G.
Wanataka 30-100G per year.

Malaysia. Singapore.
Hapa $16,000 per year unasoma.

Kuna Wanigeria mpaka North Cyprus wanafika, ili mradi wanasoma nje!

No idea about TZ uni. fees.

What you pay is what you get.
 
Ivi ni kweli nacho kisoma au ni ndoto tu usiku huu
 
Basi hizo pesa huwa wanapeleka wapi hata majengo wanashindwa kuwa ya mvuto.

Swala zuri.

Nje pengine hayavutii, ndani kuzuri.
Pia zile design za picha picha katika parking lot ni za juzi juzi. Zamani tunapaki ndani gari. Wamejenga miaka ya karibu.

Bado wana ardhi kubwa usoni mwa shule kuelekea Coco, kama sikosei.
 
Mkuu, siwezi kuweka majina bila ya idhini yao.

Lakini kuna watoto wa wakubwa wengi wamesoma IST. Naongelea mawaziri na maraisi.

Hapo Juu, Saurabh ni Mtoto wa Expat wa India aliyekuwa Bongo. Kawahi kuingia Silicon Valley, CA, kauza people.com kwa monster.com na kuwa $ millionaire. Mjanja wa kwanza kuingia kwenye biashara za kuuza websites aliyeishi Tanzania.
IST ipo vizuri, ila ukiiangalia ni sawa na shule za kawaida sana huku ninakoishi. Hiyo ada ni kubwa mno, ukilinganisha na product unayopata. I have debated and attended a couple of academic competitions at Jamhuri Primary back in the days. I went to Forodhani and IST often had their tails handed to'em. Mzizima was doing better among Dar's sec. schools. I went to college with some IST kids from Zambia and Ethiopia .... I couldn't tell 4real if they've spent more than .3M$ to get where they were.

However, a bright kid plus IST will be one of the "baddest" combinations.
 
Hapo ni mwisho wa mchezo.

Nimebahatika kusoma hapo miaka ya 80.

Siku hizi bei yake kubwa mno kama ya kwenda chuo kikuu.

Kubwa mno kama ya kwenda chuo kikuu? Hamna chuo kikuu kina ada Million 50 kaka. IST ndo taasisi ya Elimu iliyo ya ghali kuliko yoyote Tanzania kwa sasa!
 
Ivi ni kweli nacho kisoma au ni ndoto tu usiku huu

Ni kweli kabisa unachosoma. Mitaala yao si ya Tanzania na hawafanyi mitihani ya NECTA. Ni mitaala ya UK. Ada kama unavyoona ni million 50>!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom