Tokyo40
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,065
- 1,926
nina maana ya value for money,$ 16000 for a year hakuna jipya hapo .usitete umashuhuri wa kijinga ina maana watoto wa hiyo shule wapo bright au wanapata cha ziada ukkilinganisha na other private schools? hiyo shule ni kwa diplomatic families and the fees is paid by the office not a parent alone ,hii ni kwa 90 % of all children
Kwanza, IST siyo kwa ajili ya watoto wa mabalozi tu.
Wanafunzi wa Kitanzania ni karibu nusu ya wanafunzi wote.
Kama mwanafunzi wa IST, certificate zake ni za Kimataifa. Na ni juzi tu, shule binafsi zikaanza kuiga kutoa GCSE certificates. Sijui kama zinatoa international baccalaureate diploma kama IST.
Kama umehitimu hapa VIZURI katika masomo yako, pamoja na barua ya guidance counsellor wako, na sifa nyingine, ni rahisi kupata scholarship kuliko shule za Kitanzania, private au public.
Kuna shule Tanzania unapelekwa Model United Nations na kupewa kazi ya kuiwakilisha nchi fulani kama Balozi Mwanafunzi?
Kuna shule Tanzania zinapeleka wanafunzi kusoma bure (full scholarship) Marekani na UK zaidi ya IST baada ya kuhitimu vizuri?
Kuna shule unafundishwa kutoa muda wako bure kwa jamii kama requirement ya kupata diploma?
Kuna shule unafundishwa kuogelea na kuokoa kwa kufundishwa CPR na mouth to mouth resuscitation?
Bora niishie hapa.