Nataka kumpeleka mwanangu hapa

Nataka kumpeleka mwanangu hapa

Hii na ile SAVANNA PLAINS ya shinyanga ipi iko juu?
 
Mkuu ist saivi ndo shule inayoongoza kwa ada eadt africa mdogo wangu kasoma hapo IB kwa scholarship

Yawezekana mkuu maana last time niliangalia ISM ilikuwa juu ya IST. Lakini ni kwasababu ISM ni boarding.

IST EA nzima sina hakika sana mkuu.. Kuna Brookhouse hapo Nairobi ni shida
 
duh hizo shule balaa! ina maana hata kama mwanao ana iq ndogo wataikuza nini?

Kuna watoto wa mabalozi kama wa Yemen, Korea na Japan. Wanakuja hata maneno matatu ya Kiingereza hawajui.

Wanapelekwa Intensive English Class, baada ya miezi sita, anaongea vizuri kabisa.

Tunapelekwa Model United Nations, Nairobi, kujifunza debating.

Huwezi kumaliza IB2 (form 6) mpaka ufanye masaa 80 ya volunteer work, hapo Salvation Army, kwa Mama Theresa au Katika hospitali yetu ya Kijiji cha Kinduitwi.

Pia, tumepiga rangi wodi za Ocean Road Hospital.

Tunafundishwa kuogelea na kuokoa.

Maktaba haina tofauti na Maktaba ya nchi tajiri. Kuna kila aina ya vitabu na magazines.

Kwa elimu, IST haina mshindani Tanzania.
 
Kuna watoto wa mabalozi kama wa Yemen, Korea na Japan. Wanakuja hata maneno matatu ya Kiingereza hajui.

Wanapelekwa Intensive English Class, baada ya miezi sita, anaongea vizuri kabisa.

Tunapelekwa Model United Nations, Nairobi, kujifunza debating.

Huwezi kumaliza IB2 (form 6) mpaka ufanye masaa 80 ya volunteer work, hapo Salvation Army, kwa Mama Theresa au Katika hospitali yetu ya Kijiji cha Kinduitwi.

Pia, tumepiga rangi wodi za Ocean Road Hospital.

Tunafundishwa kuogelea na kuokoa.

Maktaba haina tofauti na Maktaba ya nchi tajiri. Kuna kila aina ya vitabu na magazines.

Kwa elimu, IST haina mshindani Tanzania.

Kwenye viwango vya elimu bora ISM ipo mbele ya IST. Ngoja nikatafute ile link ya best international schools in Africa
 
hiyo fees ya mwaka mmoja kwa nursery unajenga simple house,,,,,,its extremely high

Acha kuendekeza njaa kijana! Mjini hapa usipojipanga vyema..utapangwa na wenye mji!!

Ingawa nilisoma kijijini kwa karo ya sh. 20 za kitanzania, kama uwezo upo ni vema vijana ukawapeleka hapo wakasoma!!!


In all, umasikini ulaaniwe!!!!!
 
nina maana ya value for money,$ 16000 for a year hakuna jipya hapo .usitete umashuhuri wa kijinga ina maana watoto wa hiyo shule wapo bright au wanapata cha ziada ukkilinganisha na other private schools? hiyo shule ni kwa diplomatic families and the fees is paid by the office not a parent alone ,hii ni kwa 90 % of all children
 
Kuna watoto wa mabalozi kama wa Yemen, Korea na Japan. Wanakuja hata maneno matatu ya Kiingereza hawajui.

Wanapelekwa Intensive English Class, baada ya miezi sita, anaongea vizuri kabisa.

Tunapelekwa Model United Nations, Nairobi, kujifunza debating.

Huwezi kumaliza IB2 (form 6) mpaka ufanye masaa 80 ya volunteer work, hapo Salvation Army, kwa Mama Theresa au Katika hospitali yetu ya Kijiji cha Kinduitwi.

Pia, tumepiga rangi wodi za Ocean Road Hospital.

Tunafundishwa kuogelea na kuokoa.

Maktaba haina tofauti na Maktaba ya nchi tajiri. Kuna kila aina ya vitabu na magazines.

Kwa elimu, IST haina mshindani Tanzania.

Safi sana kijana.

Sasa sijui uko wapi. Umeshajiunga na mafisadi au unawatumikia raia wa hii jamhuri kwa uadilifu.

Mimi nampongeza mzazi/mlezi wako kama aliona mbali na kukupeleka shule nzuri kama hiyo.

Payback to your country and its people by doing what is good for humanity!
 
Kwenye viwango vya elimu bora ISM ipo mbele ya IST. Ngoja nikatafute ile link ya best international schools in Africa

Inawezekana Mkuu. Lakini ninavyojuwa, kila mwaka zaidi ya wanafunzi 15 au zaidi wanapewa full scholarship vyuo vya Ivy League, Bali na vyuo vingine kama LSU, Uiingereza.

Vyuo kama Princeton, Harvard, UPenn, Howard, Georgetown, Yale, Oxford na London School of Economics, wamewapokea na kuwapa full scholarship waliofaulu IST vizuri miaka nenda miaka rudi.
 
nina maana ya value for money,$ 16000 for a year hakuna jipya hapo .usitete umashuhuri wa kijinga ina maana watoto wa hiyo shule wapo bright au wanapata cha ziada ukkilinganisha na other private schools? hiyo shule ni kwa diplomatic families and the fees is paid by the office not a parent alone ,hii ni kwa 90 % of all children

I beg to differ. Again nimekupa mfano..kuna akina Masanja tumesoma shule za UPE za shs. 20..Lakini Mungu ametuongoza tukatoboa kwenye maisha. Lakini I can guarantee you in reality akina Masanja tunaotoboa notwithstanding our background ni wachache mno..ndo maana umasikini hauwezi kuisha.

Ukisoma shule kama hiyo hata exposure unayoipata ni zaidi ya University. Mf. Mimi kwa mara ya kwanza nimemiliki laptop nilipokwenda kufanya masters nje ya nchi!! Nimetumia internet..(Imean kuitumia..siyo hizi za facebok na IG) nimemaliza Form six.. Ila mtoto wa hizo shule anafanya niliyofanya akiwa darasa la kwanza na kunizid!!!

lets face it ni umasikni tuu ila shule kama hizo zinasaidia sana vijana wetu....
 
mmenikumbusha those days maeneo ya mwalibwa hapo ist obey,madem wa ist hawana noma kabisa wala ghalama ni wewe tu na domo lako lugha hapo ni ki inglish, tulikua na group letu apo maeneo tumewagegeda sana tuu,isipokua kuna mwenetu mmoja lugha ilikua gongana alikua anatupa burdani akimtokea dem! nyie acheni tu,mshkaji amesha rest in peace jina lake farid a.k.a kid n play wale wa obey wanamjua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom