Nataka kumpeleka mwanangu hapa

Nataka kumpeleka mwanangu hapa

Alafu unakuta mtoto mwenyewe anaanza vijitabia vya kina Rio paul au Martin kadinda.
 
Kaloleni primary school halafu Arusha Sec wakati huo Mkuu ni Mrs Materu halafu Ilboru sec Mkuu akiwa Mr Mushi na gari yake 404...then JKT oljoro and after that UDSM.Chakula kizuri..malazi safi...wakufunzi wazuri.

Mkuu msaidizi Arusha Sec Mkwizu na speech yake ya survival for the fittest. Mkuu umenikumbusha mbali.
 
Hapo ni mwisho wa mchezo.

Nimebahatika kusoma hapo miaka ya 80.

Siku hizi bei yake kubwa mno kama ya kwenda chuo kikuu.

halafu eti kuna watu wanaamin binadam wote ni Sawa, Polen sana yaan wewe utende kosa kwa mfano upelekwe mahakamani Sawa na Lowassa kwa mfano. hapo umenikumbusha mbali ni karibu na home miaka hiyo tunakuja kuogelea hapo shulen kuna walimu walikuwa wanakuja mashulen kwetu kutufundisha somo flan wanaita life support. umenifanya nimewakumbuka. Mr Mrs Harrison. wanashule Yao ipo uswitz walikuwa wanakujaga wanafunzi kwa kubadilishana daa.
 
Kutokana na hio ada hio itakuwa sio elimu tu hii ya kawaida tunayo ijua wabongo ya kukariri na kulala na kutaniana darasani

Na jaribu kufikiri kuwa humo ndani kuna agenda ya ku wa program watoto wawe na hulka fulani ambayo added value ya ubinidamu wao na utashi.

Kazi ipo kwetu maskini, kama hatuna uwezo wakuwapeleka watoto wetu huko basi ni jukumu letu sisi wazazi kuhakikisha tuna wa program watoto wetu wawe na sifa za kujiamini,kujaribu.
 
..Until there's no longer 1st class and 2nd class of citizen in any nation..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom