nina maana ya value for money,$ 16000 for a year hakuna jipya hapo .usitete umashuhuri wa kijinga ina maana watoto wa hiyo shule wapo bright au wanapata cha ziada ukkilinganisha na other private schools? hiyo shule ni kwa diplomatic families and the fees is paid by the office not a parent alone ,hii ni kwa 90 % of all children
Ni shule ya kuusomea uraisi wa marekani?
Safi sana kijana.
Sasa sijui uko wapi. Umeshajiunga na mafisadi au unawatumikia raia wa hii jamhuri kwa uadilifu.
Mimi nampongeza mzazi/mlezi wako kama aliona mbali na kukupeleka shule nzuri kama hiyo.
Payback to your country and its people by doing what is good for humanity!
Elewa vizuri.
Kwanza ni kujitumikia mpaka unaridhika na quality ya maisha yako popote duniani.
Watanzania wengi wanalitumia neno "uzalendo" kama kuweka nchi kwanza kuliko maisha yako. Au kuonyesha upendo kwa kufanya kazi nyumbani siyo nje.
Huo ni ujinga. Unatokana na exposure ndogo ya mambo ya dunia.
Huwezi kuiweka nchi kwanza kabla ya kujiridhisha kwa kila kitu wewe mwenyewe kwanza.
Kuna makampuni ya Kimarekani, Japan na nchi nyingine Asia na nchi nyingine kupunguza gharama ya uzalishaji na kuzidisha soko la bidhaa zao.
Hawa pengine utawaita wasaliti siyo "Wazalendo" kwa kuwa wamewekeza nje na kuwapa ajira raia wa nje badala ya kukaa nyumbani.
Dunia ya leo ni kijiji kidogo. Haina mipaka wala uzalendo.
Na siyo kila mtu aliotajirika ni fisadi.
Kuna wengi wamechuma kwa jasho lao Tanzania.
I work for the success of myself and my family. I don't work for a nation.
Neither do most people.
The paramount importance for me is to live happily. I found my happiness in Tokyo, Japan.
Kuna watoto wa mabalozi kama wa Yemen, Korea na Japan. Wanakuja hata maneno matatu ya Kiingereza hawajui.
Wanapelekwa Intensive English Class, baada ya miezi sita, anaongea vizuri kabisa.
Tunapelekwa Model United Nations, Nairobi, kujifunza debating.
Huwezi kumaliza IB2 (form 6) mpaka ufanye masaa 80 ya volunteer work, hapo Salvation Army, kwa Mama Theresa au Katika hospitali yetu ya Kijiji cha Kinduitwi.
Pia, tumepiga rangi wodi za Ocean Road Hospital.
Tunafundishwa kuogelea na kuokoa.
Maktaba haina tofauti na Maktaba ya nchi tajiri. Kuna kila aina ya vitabu na magazines.
Kwa elimu, IST haina mshindani Tanzania.
I beg to differ. Again nimekupa mfano..kuna akina Masanja tumesoma shule za UPE za shs. 20..Lakini Mungu ametuongoza tukatoboa kwenye maisha. Lakini I can guarantee you in reality akina Masanja tunaotoboa notwithstanding our background ni wachache mno..ndo maana umasikini hauwezi kuisha.
Ukisoma shule kama hiyo hata exposure unayoipata ni zaidi ya University. Mf. Mimi kwa mara ya kwanza nimemiliki laptop nilipokwenda kufanya masters nje ya nchi!! Nimetumia internet..(Imean kuitumia..siyo hizi za facebok na IG) nimemaliza Form six.. Ila mtoto wa hizo shule anafanya niliyofanya akiwa darasa la kwanza na kunizid!!!
lets face it ni umasikni tuu ila shule kama hizo zinasaidia sana vijana wetu....
sasa mkuu yote hayo yametoka wapi? Yes you found your happiness in Tokyo. I respect that. That's why nimesema ukisoma shule nzuri Kama IST uwezekano wa kufanikiwa ni mkubwa. But it doesn't mean tuliosoma kayumba wote ni wajinga wajinga........kuna ambao hizo Harvard na LSE tumezisoma vile vile...so....my brother..don't go there.
Saying that I meant well it was just a brotherly challenge.
Asante.
Ila kwa majengo mazuri IST imepitwa vibaya sana na LOYOLA HIGH SCHOOL.
Kuna watoto wa mabalozi kama wa Yemen, Korea na Japan. Wanakuja hata maneno matatu ya Kiingereza hawajui.
Wanapelekwa Intensive English Class, baada ya miezi sita, anaongea vizuri kabisa.
Tunapelekwa Model United Nations, Nairobi, kujifunza debating.
Huwezi kumaliza IB2 (form 6) mpaka ufanye masaa 80 ya volunteer work, hapo Salvation Army, kwa Mama Theresa au Katika hospitali yetu ya Kijiji cha Kinduitwi.
Pia, tumepiga rangi wodi za Ocean Road Hospital.
Tunafundishwa kuogelea na kuokoa.
Maktaba haina tofauti na Maktaba ya nchi tajiri. Kuna kila aina ya vitabu na magazines.
Kwa elimu, IST haina mshindani Tanzania.
hiyo fees ya mwaka mmoja kwa nursery unajenga simple house,,,,,,its extremely high
Naona elimu yao ipo too practical related to the existing global current affairs. Haipo theoretical kama ya bongo.
Vitu unavyopata kule vinakujenga kwenye maisha yako ya kila siku.
Wakati tunasoma secondary hatukuwa na mwanga wa vitu kama hivi, tunakuja kushtuka wenzetu tuliomaliza nao wanaitwa kwa usaili na wanapata scholarship sisi tunarudi kwenye mtaala wa serikali.
Kwasasa najitahidi kwa gharama yeyote mdogo wangu aingie hapo. Na nikiwa na hela nzuri wanangu wote watasoma hapo kuanzia nursery hadi PHD.
Graduates wa sekondary niliyosoma karibu kila mwaka wanapata scholarship hapo. Baadae wanaenda marekani kwa degree.
Hapo ni mwisho wa mchezo.
Nimebahatika kusoma hapo miaka ya 80.
Siku hizi bei yake kubwa mno kama ya kwenda chuo kikuu.