Four
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 229
- 164
Acha kiherehere mbona unakuwa mnoko sana kama mbuzi mwenye nyenge,sawa ameua yawezakua ilikuwa bahati mbaya. Kausha maisha yaendelee dunia ni gurudumu linanozunguka kwani wewe unajua Baade yako?natumai mko poa wakuu
huwa nachukia sana wahalifu wanaofanya matukio na kukimbia mkono wa sheria,zaidi namchukia sana yule anayemficha muhalifu asiweze kukutana na adhabu anayoistahili kuipata baada ya kufanya uhalifu wake.