njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 1,720
- 3,850
Mnaweza kuona kama mtoa mada mnafki sijui hayamuhusu,mara mbea ngoja niwape kisa kimoja cha kweli nikiwa mkoa fulani alikuja kijana fulani mtaani kwetu alikua ametuzidi kidogo lakini baada ya kukaa kwa muda ndipo tukapata wasaa kidogo wa kumfahamu na tukaja kufahamu kuwa jamaa alipotoka aliwahi kuua mtu kwa kisa cha kipuuzi puuzi tu na kama alikuja kujificha kule na kuroga hivi,basi siku moja vijana wa mtaani wakiwa wnacheza mpira na mwenyewe akiwepo tabia za utotoni goli la kamba ya katani ndo mwamba wa juu so ikawa utata goli au si goli yule bwana akawa analazimisha ni goli na goli kipa anasema si goli basi bwana yule alipotoa panga hatujui ghafla tu akalizamisha kichwani kwa goli kipa paap ,ubongo nje.....nimejaribu kutoa kisa kirefu kidogo kwa maana ifuatayo mtu aliyemwaga damu isiyo na hatia mkono wa damu huwa unamuandama daima hata huyo wasipomuangalia atafanya unyama tena kikubwa tuheshimu uhai.