Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Unaachaje muuaji awe huru?piga namba hii 0787668306...lakini amekukosea nini hadi unatakaa kumchoma...?
Unaachaje muuaji awe huru?piga namba hii 0787668306...lakini amekukosea nini hadi unatakaa kumchoma...?
Hapo ndipo penye shida. Polisi wetu katika jambo kama hili, badala ya wao kushukuru kwa kurahisishiwa kazi (kuiweka ni iwe ni siri) wao wanakutia mahabusu eti ndo mtuhumiwa #1 au wanakuweka mahabusu ili uisaidie Polisi as if mahabusu ndo bakshishi yako kwa kuwapa Taarifa.Utakua mtuhumiwa namba moja
Thibitisha.Kulikuwa na haja gani kunianika humu? Ilikuwa self defense nilikuwa najilinda kwasababu jamaa ndo alitaka kuniua.
Ishi na Jali maisha yako wewee
Sawa sawa nitaleta kisa kuhusu maisha yangu ya utafutaji, moja ya tukio nitakalogusia ni kuhusu huyu askari. Enzi hizo biashara ya ngozi ilikuwa ni ya magendo wacha sasa hivi ngozi haina thamani kama zamani.☕☕☕☕
yap anauzia Wadogo zangu na majirani madawa ya kulevya.mimi hayo maeneo aliyofanya haya mauaji- ndipo kwenye Makazi ya Baba na Mama angu.Isitoshe jamaa zake niliwa pambana nao Usiku mmoja wakaishia nichoma Bisibisi (mpaka leo nna kovu kutokana na hilo Shambulio) imagine mtu anataka akutoboe macho kwa bisibisi kisa utaki akukabe akuchukulie simu na walet!!.ILA HAWA NILIMALIZANA NAO MWENYEWE NILIWAONYESHA UZOEFU WANGU WAA KUKAA Hillbrow Johanesburg kesho yake😁😁.Now familia zao zina hazimisha unvesaries za Umauti wao! I showed them the results WHAT HAPPENS WHEN YOU FUKCK THE WRONG NIGHER.Wewe binafsi Kuna Jambo amekukosea ?????
Mkuu una undugu na don namilison?Sawa sawa nitaleta kisa kuhusu maisha yangu ya utafutaji, moja ya tukio nitakalogusia ni kuhusu huyu askari. Enzi hizo biashara ya ngozi ilikuwa ni ya magendo wacha sasa hivi ngozi haina thamani kama zamani.
unataka ya nini....Hii namba ya nani?
Mi nataka ya IGP SIRRO
Humu na kujifanya hawajaona hii Mada. Ila ungewaambia Mbowe au Lisu yumo humu Mbona mbio washashonokeaKulikuwa na haja gani kunianika humu? Ilikuwa self defense nilikuwa najilinda kwasababu jamaa ndo alitaka kuniua.
Ishi na Jali maisha yako wewee
Mnaoishi kwa shemeji zenu mna mbwembweyap anauzia Wadogo zangu na majirani madawa ya kulevya.mimi hayo maeneo aliyofanya haya mauaji- ndipo kwenye Makazi ya Baba na Mama angu.Isitoshe jamaa zake niliwa pambana nao Usiku mmoja wakaishia nichoma Bisibisi (mpaka leo nna kovu kutokana na hilo Shambulio) imagine mtu anataka akutoboe macho kwa bisibisi kisa utaki akukabe akuchukulie simu na walet!!.ILA HAWA NILIMALIZANA NAO MWENYEWE NILIWAONYESHA UZOEFU WANGU WAA KUKAA Hillbrow Johanesburg kesho yake😁😁.Now familia zao zina hazimisha unvesaries za Umauti wao! I showed them the results WHAT HAPPENS WHEN YOU FUKCK THE WRONG NIGHER.
Safiii kijana tungepata vjna Kama ww kadhaa taifa lingenyooka aseee tuko pamoja litawafikia wahusikaNatumai mko poa wakuu,
Huwa nachukia sana wahalifu wanaofanya matukio na kukimbia mkono wa sheria, zaidi namchukia sana yule anayemficha muhalifu asiweze kukutana na adhabu anayoistahili kuipata baada ya kufanya uhalifu wake.
Huyu jamaa anaitwa Jumaa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga lakini kuna kipindi alihama na kuwa anaishi Dsm,ni mtumiaji na muuzaji unga mzuri sana AU TEJA. Wakati yupo Dsm alimuua mtu kwa kumchoma kisu haya maelezo alinieleza yeye mwenyewe na mama yake mzazi walipokuja ofisini kwetu kwa ajili ya kuua kesi hiyo eti isifuatiliwe tukawaambia hatuna uwezo huo. Ni kati ya Posta au Mburahat, sikumbuki vizuri lakini ni kama kwenye ugomvi wa bar ama maskani zao na ndipo alitoa kisu na kumshindilia mwenzake.
Sasa baada ya kuwa huko DSM anatafutwa akakimbilia Tanga nyumbani kwa mama yake. Yupo anaishi huku kwa amani kabisa ingawa ameshatoa uhai wa binadamu na mwenyewe anajitapa kwamba yeye hawezi kukamatwa na akikamatwa ataachiwa. Sasa hivi ana kesi ya kukutwa na madawa ya kulevya na kesi yake itasomwa hivi karibu mahakama ya Tanga Mjini.
Naendelea kutafuta picha yake,nitaiweka siku si nyingi.
HUYU JAMAA AMEUA KWELI KABISA KWA MUJIBU WA MAELEZO YAO
Naanzaje kuisaidia Polisi katika ili wamrudishe mtuhumiwa wa mauaji akahukumiwe, kuliko kufichwa fichwa huku mtaani na mama yake huku akipewa hela za kuvuta unga na kusumbua raia?
Ama kama napata mawasiliano na wanausalama wa huko DSM wanaohusika na kusimamia kesi za mauaji ningewapa maelezo vizuri waje wamnyakue.
Kwani mpka amkosee?! Unatka waendelee kumuacha aue Tena?!Piga namba hii 0787668306...lakini amekukosea nini hadi unatakaa kumchoma...?
Unatakiwa kuwa makini isije ikakugeukia, Ninao mfano dhahiri wa ndugu yangu yeye alitoa taarifa Polisi ya jamaa aliyekuwa akiishi kinyumba na watoto wadogo na jamaa ni muathirika.Natumai mko poa wakuu,
Huwa nachukia sana wahalifu wanaofanya matukio na kukimbia mkono wa sheria, zaidi namchukia sana yule anayemficha muhalifu asiweze kukutana na adhabu anayoistahili kuipata baada ya kufanya uhalifu wake.
Huyu jamaa anaitwa Jumaa ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga lakini kuna kipindi alihama na kuwa anaishi Dsm,ni mtumiaji na muuzaji unga mzuri sana AU TEJA. Wakati yupo Dsm alimuua mtu kwa kumchoma kisu haya maelezo alinieleza yeye mwenyewe na mama yake mzazi walipokuja ofisini kwetu kwa ajili ya kuua kesi hiyo eti isifuatiliwe tukawaambia hatuna uwezo huo. Ni kati ya Posta au Mburahat, sikumbuki vizuri lakini ni kama kwenye ugomvi wa bar ama maskani zao na ndipo alitoa kisu na kumshindilia mwenzake.
Sasa baada ya kuwa huko DSM anatafutwa akakimbilia Tanga nyumbani kwa mama yake. Yupo anaishi huku kwa amani kabisa ingawa ameshatoa uhai wa binadamu na mwenyewe anajitapa kwamba yeye hawezi kukamatwa na akikamatwa ataachiwa. Sasa hivi ana kesi ya kukutwa na madawa ya kulevya na kesi yake itasomwa hivi karibu mahakama ya Tanga Mjini.
Naendelea kutafuta picha yake,nitaiweka siku si nyingi.
HUYU JAMAA AMEUA KWELI KABISA KWA MUJIBU WA MAELEZO YAO
Naanzaje kuisaidia Polisi katika ili wamrudishe mtuhumiwa wa mauaji akahukumiwe, kuliko kufichwa fichwa huku mtaani na mama yake huku akipewa hela za kuvuta unga na kusumbua raia?
Ama kama napata mawasiliano na wanausalama wa huko DSM wanaohusika na kusimamia kesi za mauaji ningewapa maelezo vizuri waje wamnyakue.
Wacha Mkwara wewe ndugu yangu.yap anauzia Wadogo zangu na majirani madawa ya kulevya.mimi hayo maeneo aliyofanya haya mauaji- ndipo kwenye Makazi ya Baba na Mama angu.Isitoshe jamaa zake niliwa pambana nao Usiku mmoja wakaishia nichoma Bisibisi (mpaka leo nna kovu kutokana na hilo Shambulio) imagine mtu anataka akutoboe macho kwa bisibisi kisa utaki akukabe akuchukulie simu na walet!!.ILA HAWA NILIMALIZANA NAO MWENYEWE NILIWAONYESHA UZOEFU WANGU WAA KUKAA Hillbrow Johanesburg kesho yake😁😁.Now familia zao zina hazimisha unvesaries za Umauti wao! I showed them the results WHAT HAPPENS WHEN YOU FUKCK THE WRONG NIGHER.
nKama tukio liliripotiwa polisi ni rahisi.......
lakini kama hawakuripiti shida hiyo
namba ya nani hiyo mkuu,kuna jamaa amenitumia inbox namba za wakuu wote wa polisi.nimemshukuru sanaPiga namba hii 0787668306...lakini amekukosea nini hadi unatakaa kumchoma...?
kwahiyo unashauri niachane nae tu ale bata.Polisi wanajisifu kua wana intelijensia kubwa waache wao wenyewe wamtafute mtu huyo. Polisi wetu wamezoea kila tukio hadi wapewe feeds toka kwa raia wema. Ila likija swala la siasa ndio kwanza wanapima hadi hisia za wananchi.
Inamaana jamaa ana mtu hapo polisi inakuaje aendee kuriporti na mtumiwa akajua Alie mripoti haya maswala ya madawa bora angeenda DCEATukio lilitokea Mburahati Dar es salaam.Case yake ipo Pale Police Mburahati.Marehemu Alimreport huyu jamaa kwa Police kuwa anauza Mihadharati!.Jamaa akakutana na Marehemu kichochoroni maeneo ya Mburahati kota ndipo alipomchoma visu mpaka kupeleka umauti wa jamaa.kisha akakimbia